LOVINTAH GYM
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 459
- 653
- Thread starter
-
- #21
ndio bahati zenyeweSawa, ila kiuhalisia sivyo! Aliyekuwa wa mwisho darasani leo hii ni tajiri! Professor anamuomba beer! Imekaaje?? Huenda kufanikiwa ni "maujanja"
Sent using Jamii Forums mobile app
utafika InshAllahNdio kwanza nahangaika kutoboa
Ndio bahati ya kukutana na watu watakao ku connect na mambo ya msingi. Wapo ambao ndugu zao wapo kwenye nafasi nzuri ila hawataki kuwa connect.All in all, connection, katika dunia ya sasa hicho ndo kitu muhimu....mjini ukikosa connection utasumbuka Hadi maiti yako kutolewa mortuary, na eneo la kuzikiwa pia utapata kwenye maporomoko mvua ikinyesha kaburi lako linasombwa... CONNECTION!
Hii ndio bahati au nyota yako kung'aa kuzid wengine.Hata mchezo wa mpira kuna maujanja, ni kwa vile tu hujui. Wewe amini maisha ni "mchezo" na mafanikio ni Siri ya mtu. Kuna mtu kalima eka Moja ya mahindi na nwenzake jirani kalima eka Moja.
Kila mtu alitumia utaalamu wa kutosha na udongo ni uleule. Mmoja akavuna gunia 10 mwingine gunia 1. Kumbuka hakuna aliyefanya uzembe.
Hapo Kuna nini? Unaweza ukawa mchezaji mzuri ila kila ukicheza unaona mipira miwili na unapiga ule mpira fake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Safii sana endelea kusali ili ulinde bahati yako.Mimi nipo kwenye kundi kwenye bahati maana kuanzia shule yamsingi hadi chuo nilikua napata matokeo nisiyoyatarajia. Na hata kazi nilipata bila kutegemea mpaka leo huwa siamini
kabisa, unaweza kuwa msanii mzuri wa muziki lakin kwa kukosa bahati basi tu ndio utaishia hivyo hivyo, huvumi, hunufaiki na kipaji chakoKosa yoote ila usikose bahati
Nabii hakubaliki kwao, tafuta sehemu ambayo thamani yako itaonekana. Ndio maana wanashauri tuwe tunasafiri sehemu mbalimbali, husaidia kukua kiaikili, kimtazamo nkAaa mkuu.. yaani pengine kuna sehemu unapata tabu na shida nyingi ila kuna sehemu unatafutwa ukawe MFALME.. daah maisha haya wewe acha tu [emoji23]
Sidhani kama hili lina uhalisia, nahisi umeandika ili kufavour upande fulani.Sawa, ila kiuhalisia sivyo! Aliyekuwa wa mwisho darasani leo hii ni tajiri! Professor anamuomba beer! Imekaaje?? Huenda kufanikiwa ni "maujanja"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndo kiboko ukiondoa uchawi (uchawi huwa siuamini sana ktk utafutaji) ila connection na dili haramu zimewatoa sana watu.Uchawi, connection,dili haramu