Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
Habari zenu. Hongereni wale mliofaulu ...nina vitu muhimu vya kushiriki na nyie siku ya leo hasa kwa kwenye uchaguzi wa kozi vyuoni.
1. Jitahidi kupata taarifa sahihi za kozi unayo/unazotaka kuomba kwa kadiri ya uwezo wako..
2. Usipende kufuata mkumbo; kumbuka hii ni hatua muhimu sana kufikia safari yako ya maisha..
3. Soma vyema sana hiki kitabu - Admission guide book ya mwaka 2014 2015 (nimeambatanisha chini).
4. Kwa wale ambao wanahitaji MKOPO zingatieni sana kozi zenye vipaumbele ...
5. Jitahidi kujua taarifa hizi
a. Important dates to be adhered to during the application process;
b. Minimum entry requirements for each programme;
c. Maximum loanable amount for priority programmes (For more information on Loans refer to issuance of Loans Guidelines and Criteria for academic year 2014/2015 issued by HESLB)
Nawatakia uchaguzi mwema wa kozi..
View attachment Undergraduate Admission Guidebook 2014-2015_04_24.pdf
1. Jitahidi kupata taarifa sahihi za kozi unayo/unazotaka kuomba kwa kadiri ya uwezo wako..
2. Usipende kufuata mkumbo; kumbuka hii ni hatua muhimu sana kufikia safari yako ya maisha..
3. Soma vyema sana hiki kitabu - Admission guide book ya mwaka 2014 2015 (nimeambatanisha chini).
4. Kwa wale ambao wanahitaji MKOPO zingatieni sana kozi zenye vipaumbele ...
5. Jitahidi kujua taarifa hizi
a. Important dates to be adhered to during the application process;
b. Minimum entry requirements for each programme;
c. Maximum loanable amount for priority programmes (For more information on Loans refer to issuance of Loans Guidelines and Criteria for academic year 2014/2015 issued by HESLB)
Nawatakia uchaguzi mwema wa kozi..
View attachment Undergraduate Admission Guidebook 2014-2015_04_24.pdf