Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Fahamu Mambo Muhimu ya Kuzingatia Unapopeleka Simu Yako kwa Fundi ili kuepuka taarifa zako binafsi kuvuja
1. Ondoa laini ya Simu: Hakikisha umeondoa laini yako ya simu ili kulinda taarifa zako binafsi.
2. Cheleza (Backup) taarifa Muhimu: Fanya backup taarifa zako muhimu ili kuhakikisha hupotezi taarifa hizo
3. Futa Taarifa Nyeti: Futa taarifa nyeti au za siri kwenye simu yako ili zisiweze kufikiwa na fundi au watu wenye nia ovu.
4. Ondoa Nywila: Kumbuka kutoa Nywila (Passsword) ya simu yako na sio kumpatia fundi. Pia, usimpe nywila za sehemu nyingine nyeti kama WhatsApp, baruapepe...
1. Ondoa laini ya Simu: Hakikisha umeondoa laini yako ya simu ili kulinda taarifa zako binafsi.
2. Cheleza (Backup) taarifa Muhimu: Fanya backup taarifa zako muhimu ili kuhakikisha hupotezi taarifa hizo
3. Futa Taarifa Nyeti: Futa taarifa nyeti au za siri kwenye simu yako ili zisiweze kufikiwa na fundi au watu wenye nia ovu.
4. Ondoa Nywila: Kumbuka kutoa Nywila (Passsword) ya simu yako na sio kumpatia fundi. Pia, usimpe nywila za sehemu nyingine nyeti kama WhatsApp, baruapepe...