ABTWAHILAKILIMALI
Member
- Jan 10, 2015
- 78
- 27
FANYA HAYA UTAFANIKIWA SANA KWENYE BIASHARA
Watu wengi wanaanzisha biashara, watu wachacahe wanafanikiwa kwenye biashara, usishangae unaweza anzisha biashara na usifanikiwe ukaanza kumtafuta mchawi kumbe mchawi ni wewe, hebu tujigunze pamoja mambo ambayo ukiyafanya hata kama unauza nyanya nakuhakikishia mafanikio ndani ya muda mchache.
1.USIPENDE KUONGEA TU TENDA
Unakuwa mfanyabiashara ambae kazi yako ni maneno tu, unataka mafanikio lakini mafanikio yako yako mdomoni, hilo ni tatizo yani kila ukiambiwa kitu unajua, kila kitu lakini katika utendaji ni ziro, katika maisha unapoamua kufanikiwa usipende kuropoka utafanya hichi, we ni mtaalamu wa hiki, na kile wakati umaona bado hujakifanya hata kama una wazo zuri vipi lakini kama hujaliweka kwenye matendo ni kazi bure, jifunze kile ambacho unaona kwako kinafaida kitende tena kitende kwa moyo mmoja.usiogope wala usiangalie nani atakuonaje we tenda halafu baadae watakuuliza hivi hayo mafanikio ndio ile biashara? Unawaambia ndio.
2.JUA KITU GANI NI MALENGO YAKO MAKUBWA
Unapoanza kutafuta mafanikio au unapoanza kufanya biashara hebu usianze biashara kama mdudu hebu usijiulize hivi wateja nitatoa wapi? Hili ni swali la watu wengi sana ambao ni wavivu wa kufikiria yani anaanzisha biashara swali la kwanza anajiuliza wateja nitatoa wapi? Swali la kwanza unalotakiwa kujiliza kwanini nimeamua kufanya biashara, ukijiuliza swali hili utapata makusudi yako maalum ya wewe kufanya hiyo biashara hata kama akija nani kukwambia hiyo biashara haifai, hutaweza kumsikiliza, kwasababu yeye hajui malengo yako.wewe ndio ambae unafaham malengo yako.ni rahisi sana kufanikiwa kama utatambua malenho yako yamsingi, nakumbuka wakati naanza biashara nilikuwa nakutana na challenge nyingi sana lakini kila nilipokuwa natakakuacha moyo ulinisuta na kuniambia umeshatimiza malengo yako? Nakuta bado naendelea.
3.ANZA MWANZO
Usipende kuanzia juu siku zote kwenye maisha yako, usipende kuanza na mataji mkubwa sana hata kama pesa ipo, jifunze kuanzia chini halafu anza kupanda juu, ukianzia chini maisha yako yatabadilika kwasababu utajifunza unajua kinachowafanya watu wengi kufikia kuona biashara ji ngumu wanataka mafanikio ya haraka haraka na wanataka kuanzia na mtaji mkubwa ndio maana mtu anaweza kuwa na milioni moja akakwambia sina mtaji, hee hii yote ni kwasababu anataka kuanza kwa ufahari, ajulikane ameanza na kujaza frame bidhaa, acha tabia hizo.
5.ACHA KUFANYA VITU KWA KUA GALIA WATU
Rafiki hakuna mtu anajua unataka nini kwenye maisha, hata kama uko vipi usifanye kitu kwa kuangalia watu wengine, eti rafiki yangu akiniona nafanya hii atanionaje, je na yule ndugu yangu ananijua me nafanya kazi nzuri akinikuta nauza sabunj atanichukuliaje, hizo ni tabia za kimasikini hakuna mtu yeyote ambae atakuwa na mchango katika maisha yako isipokuwa wewe, acha kuishi maisha ya photocopy, ishi maisha yako halisi, ukiishi wewe kila kitu kitakuwa sawa.lakini ukiishi kwa kuwaangalia walimwengu hutafanya cha maana, maana dunia hii imejaa wakatisha tamaa kibao.
HAKUNA ANAEJUA THAMAN YA MAISHA YAKO ISIPOKUWA WEWE ACHA KULALA MAISHA YANAENDELEA
abtwahil@gmail.com
Watu wengi wanaanzisha biashara, watu wachacahe wanafanikiwa kwenye biashara, usishangae unaweza anzisha biashara na usifanikiwe ukaanza kumtafuta mchawi kumbe mchawi ni wewe, hebu tujigunze pamoja mambo ambayo ukiyafanya hata kama unauza nyanya nakuhakikishia mafanikio ndani ya muda mchache.
1.USIPENDE KUONGEA TU TENDA
Unakuwa mfanyabiashara ambae kazi yako ni maneno tu, unataka mafanikio lakini mafanikio yako yako mdomoni, hilo ni tatizo yani kila ukiambiwa kitu unajua, kila kitu lakini katika utendaji ni ziro, katika maisha unapoamua kufanikiwa usipende kuropoka utafanya hichi, we ni mtaalamu wa hiki, na kile wakati umaona bado hujakifanya hata kama una wazo zuri vipi lakini kama hujaliweka kwenye matendo ni kazi bure, jifunze kile ambacho unaona kwako kinafaida kitende tena kitende kwa moyo mmoja.usiogope wala usiangalie nani atakuonaje we tenda halafu baadae watakuuliza hivi hayo mafanikio ndio ile biashara? Unawaambia ndio.
2.JUA KITU GANI NI MALENGO YAKO MAKUBWA
Unapoanza kutafuta mafanikio au unapoanza kufanya biashara hebu usianze biashara kama mdudu hebu usijiulize hivi wateja nitatoa wapi? Hili ni swali la watu wengi sana ambao ni wavivu wa kufikiria yani anaanzisha biashara swali la kwanza anajiuliza wateja nitatoa wapi? Swali la kwanza unalotakiwa kujiliza kwanini nimeamua kufanya biashara, ukijiuliza swali hili utapata makusudi yako maalum ya wewe kufanya hiyo biashara hata kama akija nani kukwambia hiyo biashara haifai, hutaweza kumsikiliza, kwasababu yeye hajui malengo yako.wewe ndio ambae unafaham malengo yako.ni rahisi sana kufanikiwa kama utatambua malenho yako yamsingi, nakumbuka wakati naanza biashara nilikuwa nakutana na challenge nyingi sana lakini kila nilipokuwa natakakuacha moyo ulinisuta na kuniambia umeshatimiza malengo yako? Nakuta bado naendelea.
3.ANZA MWANZO
Usipende kuanzia juu siku zote kwenye maisha yako, usipende kuanza na mataji mkubwa sana hata kama pesa ipo, jifunze kuanzia chini halafu anza kupanda juu, ukianzia chini maisha yako yatabadilika kwasababu utajifunza unajua kinachowafanya watu wengi kufikia kuona biashara ji ngumu wanataka mafanikio ya haraka haraka na wanataka kuanzia na mtaji mkubwa ndio maana mtu anaweza kuwa na milioni moja akakwambia sina mtaji, hee hii yote ni kwasababu anataka kuanza kwa ufahari, ajulikane ameanza na kujaza frame bidhaa, acha tabia hizo.
5.ACHA KUFANYA VITU KWA KUA GALIA WATU
Rafiki hakuna mtu anajua unataka nini kwenye maisha, hata kama uko vipi usifanye kitu kwa kuangalia watu wengine, eti rafiki yangu akiniona nafanya hii atanionaje, je na yule ndugu yangu ananijua me nafanya kazi nzuri akinikuta nauza sabunj atanichukuliaje, hizo ni tabia za kimasikini hakuna mtu yeyote ambae atakuwa na mchango katika maisha yako isipokuwa wewe, acha kuishi maisha ya photocopy, ishi maisha yako halisi, ukiishi wewe kila kitu kitakuwa sawa.lakini ukiishi kwa kuwaangalia walimwengu hutafanya cha maana, maana dunia hii imejaa wakatisha tamaa kibao.
HAKUNA ANAEJUA THAMAN YA MAISHA YAKO ISIPOKUWA WEWE ACHA KULALA MAISHA YANAENDELEA
abtwahil@gmail.com