Kijana ushe2
Senior Member
- Apr 6, 2017
- 179
- 127
Imeandaliwa na Mwl.ngh'oloyape,
Habarini wanajamvi wa siasa forum nimejaribu kufuatilia siasa za Tanzania na jinsi ambapo tunajinasibisha mitaani kwamba Lissu atakuwa Rais wa JMT nimegundua na kuweza kuona hawezi kufikisha 40% kwa ujumla katika uchaguzi huu kwa sababu kuu zifuatazo:
1. Chama cha CCM kina wapiga kura wao wanaojulikana kati ya hao watakaokeng'euka ni wachache wengi watamchagulia Mwamba JPM bila kupepesa macho kiuhalisia.
2. Lugha za kutishana za Lissu zinamtolea kura kwa watu wa vijijini na wale wanaomheshimu kwa kauli hizo tayari wanaona huyu sio Rais anayetufaa anataka kutumia mabavu kabisa walakini
3. Siasa za CCM zinaanzia shina na familia hivyo basi wanaweza wakashawishi kuwachukua wananvhi wasio na chama wakakipigia chama hiki kikuu na tawala nchini(HII NI TURUFU INAYOWAFANYA WAFANIKIWE SANA KATIKA UVHAGUZI MAANA VIONGOZI WA MASHINA NDIO HUFANYA SIASA KUBWA NA KALI MNO NA ZENYE MUONEKANO WA KURA ZA MOJA KWA MOJA BILA NINI ) hii nina uzoefu nayo kwa asilimia 100% maana nimeweza kushiriki katika kuona na kuoneshwa namna gani kura huwa zinatafutwa kabisa
4. Mahaba na JPM yamezidi mno kwa wananchi na sio wakereketwa hawa ndio wanamdanganya TUNDULISSU hapa sio ubunge ni urais kuna sehemu unaweza ukajaza ukafikiri ndio kura hizo kumbe sio kura wale ni vijana ambao wanaweza kuja kukuangalia kukuona TUNDULISSU huwa yukoje?anaongeaje? Na wengine wanakuja kuangalia hivi huyu atajaza? umbe ndio wanajaza hivohivo wao bila kujua lakini wengine wanataka chochote hapohapo kwenye kampeni.
5. Wafanyabiashara hawapigi kura na wasomi wengi sio wapiga kura hivo basi ni vigumu sana kumshinda mtu ambae ana mizizi mingi Tanzania nzima kaweka mgombea ubunge na udiwani umshinde hiyo ni ngumu mno.
Nasubiria povu narudi kwetu kijijini USHETU ELIUS JOHN KWANDIKWA chapa kazi mheshimiwa tunakutegemea wewe una MISSION VISION NA GOALS Tunampenda sana mbunge wetu.
MAGUFULI MITANO TENA
Habarini wanajamvi wa siasa forum nimejaribu kufuatilia siasa za Tanzania na jinsi ambapo tunajinasibisha mitaani kwamba Lissu atakuwa Rais wa JMT nimegundua na kuweza kuona hawezi kufikisha 40% kwa ujumla katika uchaguzi huu kwa sababu kuu zifuatazo:
1. Chama cha CCM kina wapiga kura wao wanaojulikana kati ya hao watakaokeng'euka ni wachache wengi watamchagulia Mwamba JPM bila kupepesa macho kiuhalisia.
2. Lugha za kutishana za Lissu zinamtolea kura kwa watu wa vijijini na wale wanaomheshimu kwa kauli hizo tayari wanaona huyu sio Rais anayetufaa anataka kutumia mabavu kabisa walakini
3. Siasa za CCM zinaanzia shina na familia hivyo basi wanaweza wakashawishi kuwachukua wananvhi wasio na chama wakakipigia chama hiki kikuu na tawala nchini(HII NI TURUFU INAYOWAFANYA WAFANIKIWE SANA KATIKA UVHAGUZI MAANA VIONGOZI WA MASHINA NDIO HUFANYA SIASA KUBWA NA KALI MNO NA ZENYE MUONEKANO WA KURA ZA MOJA KWA MOJA BILA NINI ) hii nina uzoefu nayo kwa asilimia 100% maana nimeweza kushiriki katika kuona na kuoneshwa namna gani kura huwa zinatafutwa kabisa
4. Mahaba na JPM yamezidi mno kwa wananchi na sio wakereketwa hawa ndio wanamdanganya TUNDULISSU hapa sio ubunge ni urais kuna sehemu unaweza ukajaza ukafikiri ndio kura hizo kumbe sio kura wale ni vijana ambao wanaweza kuja kukuangalia kukuona TUNDULISSU huwa yukoje?anaongeaje? Na wengine wanakuja kuangalia hivi huyu atajaza? umbe ndio wanajaza hivohivo wao bila kujua lakini wengine wanataka chochote hapohapo kwenye kampeni.
5. Wafanyabiashara hawapigi kura na wasomi wengi sio wapiga kura hivo basi ni vigumu sana kumshinda mtu ambae ana mizizi mingi Tanzania nzima kaweka mgombea ubunge na udiwani umshinde hiyo ni ngumu mno.
Nasubiria povu narudi kwetu kijijini USHETU ELIUS JOHN KWANDIKWA chapa kazi mheshimiwa tunakutegemea wewe una MISSION VISION NA GOALS Tunampenda sana mbunge wetu.
MAGUFULI MITANO TENA