Habari nimerushiwa kuwa ndani ya kikao cha Halmashauri kuu ya CCM ,kinachoendelea akutoshi kati ya makundi ya waliotangaza nia ya Uraisi zenji na mafisadi wa bara.
Ebu leteni data mlio karibu na ukumbi kwani mwaka huu tutaona mengi sana,hata bungeni leo ni kutupu kabisa?? loo Tanzania,Tanzania nakupenda kwa moyo wotee????
Nasikia mtangaza nia mmja ni kama malaika huko Dodoma kwani msafara wake ni balaa,mpaka wa kukodi. tutafika kweli.
Ebu leteni data mlio karibu na ukumbi kwani mwaka huu tutaona mengi sana,hata bungeni leo ni kutupu kabisa?? loo Tanzania,Tanzania nakupenda kwa moyo wotee????
Nasikia mtangaza nia mmja ni kama malaika huko Dodoma kwani msafara wake ni balaa,mpaka wa kukodi. tutafika kweli.