Mambo Tila Lila - Zito kuingia Marikani -Makonda Capital NO, Na Lisu je?

Mambo Tila Lila - Zito kuingia Marikani -Makonda Capital NO, Na Lisu je?

Tila-lila2

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
652
Reaction score
1,058
Nafikiria mwiba ukikuingia inahitajika hekima kuutoa. Nafikiri kuna kitu sio chema, yawezekana kabisa kabisa ushahidi walionao hawa wana wa MArikani kuhusu Makonda utakuwa ni mbaya sana hata kuing'oa Sirikali.

Nilipoona kesi ya Tundu Lisu ya kudai ubunge wake imetupiliwa mbali Mahakamani kwa namna ile (yaani kwa maneno ya Jaji yule off records) nami niliamini kabisa TL anazidi kuimarishwa. Najua TL amejazwa hasira sana na Sirikali hii. Hana cha kupoteza na hana cha kumrudisha nyuma. Anapoelekea Zitto ni kama TL.

Hawa watu wanaimarisha chuki ya dhati dhidi ya utawala huu. Ni vema akili ya kuleta hekima ndogo tu itumike na utawala huu kuwarudisha wapinzani katika urafiki - upinzani usiwe chuki bali iwe chachu ya kutofautiana mawazo. Rais kemea maneno ya chuki dhidi ya Zitto, jitokeze sema, ana haki na alichokifanya ila Serikali inatafakari hoja zake ili ijirekebishe na mkopo uje.

La sivyo mkopo hata ukija basi namna unavyosemwa utavyotumika kuna walakini. Kuhusu TL, JPM mpigie Ndugai simu myamalize, Rais tamka TL yupo salama na arudi nchini bila wasiwasi hata km mnatofautiana.

Hakika haya yasipofanyika Sirikali hii itang'olewa madarakani kama utani utani, nguvu ya kutokea kwa nje huwa mbaya sana!
 
Nakwambia jiwe asipoondoa hirizi zake zote kutoka ikulu hatapata muda wa kuzichukua maana baada ya October 25 tutakuwa na rais mwingine kabisa anayejielewa sio huyu boya ambaye hawezi hata kujieleza mbele ya wanaume wenzake
 
Nafikia mwiba ukikuingia inahitajika hekima kuutoa. Nafikiri kuna kitu sio chema, yawezekana kabisa kabisa ushahidi walionao hawa wana wa MArikani kuhusu Makonda utakuwa ni mbaya sana hata kuing'oa Sirikali. Nilipoona kesi ya Tundu Lisu imetupiliwa mbali Mahakamani kwa namna ile (yaani kwa maneno ya Jaji yule off records) nami niliamini kabisa TL anazidi kuimarishwa. Najua TL amejazwa hasira sana na Sirikali hii. Hana cha kupoteza na hana cha kumrudisha nyuma. Anapoelekea Zitto ni kama TL. Hawa watu wanaimarisha chuki ya dhati dhidi ya utawala huu. Ni vema akili ya kuleta hekima ndogo tu itumike na utawala huu kuwarudisha wapinzani. Rais kemea maneno ya chuki dhidi ya Zitto, jitokeze sema, ana haki na alichokifanya ila Serikali inatafakari hoja zake ili ijirekebishe na mkopo uje. La sivyo mkopo hata ukija basi namna unavyosemwa utatumika kuna walakini. Kuhusu TL, JPM mpigie Ndugai simu myamalize, Rais tamka TL yupo salama na arudi nchini bila wasiwasi hata km mnatofautina.
Hakika haya yasipofanyika Sirikali hii itang'olewa madarakani kama utani utani, nguvu ya kutokea kwa nje huwa mbaya sana!

Wacheni wakaze vichwa kwa kiburi...
Yajayo yanafikirisha!
 
Nimeanza kuhisi kuwa ROMA MKATORIKI kapeleka ushahidi wa kutekwa kwake na DAB
Nafikia mwiba ukikuingia inahitajika hekima kuutoa. Nafikiri kuna kitu sio chema, yawezekana kabisa kabisa ushahidi walionao hawa wana wa MArikani kuhusu Makonda utakuwa ni mbaya sana hata kuing'oa Sirikali. Nilipoona kesi ya Tundu Lisu imetupiliwa mbali Mahakamani kwa namna ile (yaani kwa maneno ya Jaji yule off records) nami niliamini kabisa TL anazidi kuimarishwa. Najua TL amejazwa hasira sana na Sirikali hii. Hana cha kupoteza na hana cha kumrudisha nyuma. Anapoelekea Zitto ni kama TL. Hawa watu wanaimarisha chuki ya dhati dhidi ya utawala huu. Ni vema akili ya kuleta hekima ndogo tu itumike na utawala huu kuwarudisha wapinzani. Rais kemea maneno ya chuki dhidi ya Zitto, jitokeze sema, ana haki na alichokifanya ila Serikali inatafakari hoja zake ili ijirekebishe na mkopo uje. La sivyo mkopo hata ukija basi namna unavyosemwa utatumika kuna walakini. Kuhusu TL, JPM mpigie Ndugai simu myamalize, Rais tamka TL yupo salama na arudi nchini bila wasiwasi hata km mnatofautina.
Hakika haya yasipofanyika Sirikali hii itang'olewa madarakani kama utani utani, nguvu ya kutokea kwa nje huwa mbaya sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakwambia jiwe asipoondoa hirizi zake zote kutoka ikulu hatapata muda wa kuzichukua maana baada ya October 25 tutakuwa na rais mwingine kabisa anayejielewa sio huyu boya ambaye hawezi hata kujieleza mbele ya wanaume wenzake
Mnhh!!
 
Watu wameshajaa kwenye 18 za mabeberu soon watakalia pembe.
tapatalk_1574868077619.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom