October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Mtiririko unaohuitaji kutimiza Ndoto yako inabidi uundae in Over view kwenye maisha yako.
Maisha siku zote inabidi uwe na Ndoto/Dream...let say (To Have Financial Freedom).
Ndoto yako ili kufanikiwa lazima uigawe katika Malengo/Goals kadhaa 3-4...let say to own
1)TownAce (2)
2)Wholesale Shops (2)
3)Large Scale Chicken Farms
Ili kufanikisha Malengo(GOALS) zako inabidi uwe na list ndefu sana ya Mikakati/Plans/Hustle...Simply unapozungumzia Lengo(Goal) unazungumzia kitu kikubwa kama Biashara ambayo inabidi ikufikishe kwenye ndoto yako, na kwenye biashara hakuna biashara ambayo utaanzisha bila Mtaji kamwe
NOTE “There is no Business you can start without funding ”
Tufanye ndio unataka timiza ndoto yako↓↓
1)Uijue ndoto yako
2)Utahitaji kutimiza MALENGO yako mojamoja...mfano pale juu tuseme CHICKEN FARM (Kilimo cha ufugaji), na kimakadilio umeona Mtaji unaohitajika ni 7 Million simply wewe utakuwa upo responsible kupata hiko kihasi...kwenye kuanzisha biashara lazima ujue FUND RISING ubuni njia utayotumia kuRise/kupata Mtaji wako unaotakikana. How I Can Rise 7 Million To Start Chicken Farm ↓↓
3)Kupanga Mikakati/Plans/Hustles, Hapa utakuhitaji kuandaa Plans/Hustling kadhaa zitazokusaidia kama njia ya kupata Mtaji (Fund Rising)...hapa unaweza look for Employment au ukafikiria biashara ndogo (Hustling) utayotumia pesa ndogo na kuRise pesa nyingi mpaka kihasi hutajika (7 Millions) you can do it randomly through a series of Hustling...Huitaji Focus hapa.
Simply
_Ndoto yako TO HAVE FINANCIAL FREEDOM
_Goal ya kwanza to Start CHICKEN FARM (Capital 7Mil)
_Plan/Hustle itakayo Rise Fund ???
Kitu cha muhimu unapokuwa na ndoto kuvipangilia ni vitatu tu.
1)NDOTO (Dream)
2)MALENGO (Goals)
3)MIKAKATI (Plans)
DREAM~> Need Focus
GOAL ~> Need Consistency
PLAN ~> Randomly (No Formula)
Sent using Guest House WIFI Jamii Forums mobile app
Maisha siku zote inabidi uwe na Ndoto/Dream...let say (To Have Financial Freedom).
Ndoto yako ili kufanikiwa lazima uigawe katika Malengo/Goals kadhaa 3-4...let say to own
1)TownAce (2)
2)Wholesale Shops (2)
3)Large Scale Chicken Farms
Ili kufanikisha Malengo(GOALS) zako inabidi uwe na list ndefu sana ya Mikakati/Plans/Hustle...Simply unapozungumzia Lengo(Goal) unazungumzia kitu kikubwa kama Biashara ambayo inabidi ikufikishe kwenye ndoto yako, na kwenye biashara hakuna biashara ambayo utaanzisha bila Mtaji kamwe
NOTE “There is no Business you can start without funding ”
Tufanye ndio unataka timiza ndoto yako↓↓
1)Uijue ndoto yako
2)Utahitaji kutimiza MALENGO yako mojamoja...mfano pale juu tuseme CHICKEN FARM (Kilimo cha ufugaji), na kimakadilio umeona Mtaji unaohitajika ni 7 Million simply wewe utakuwa upo responsible kupata hiko kihasi...kwenye kuanzisha biashara lazima ujue FUND RISING ubuni njia utayotumia kuRise/kupata Mtaji wako unaotakikana. How I Can Rise 7 Million To Start Chicken Farm ↓↓
3)Kupanga Mikakati/Plans/Hustles, Hapa utakuhitaji kuandaa Plans/Hustling kadhaa zitazokusaidia kama njia ya kupata Mtaji (Fund Rising)...hapa unaweza look for Employment au ukafikiria biashara ndogo (Hustling) utayotumia pesa ndogo na kuRise pesa nyingi mpaka kihasi hutajika (7 Millions) you can do it randomly through a series of Hustling...Huitaji Focus hapa.
Simply
_Ndoto yako TO HAVE FINANCIAL FREEDOM
_Goal ya kwanza to Start CHICKEN FARM (Capital 7Mil)
_Plan/Hustle itakayo Rise Fund ???
Kitu cha muhimu unapokuwa na ndoto kuvipangilia ni vitatu tu.
1)NDOTO (Dream)
2)MALENGO (Goals)
3)MIKAKATI (Plans)
DREAM~> Need Focus
GOAL ~> Need Consistency
PLAN ~> Randomly (No Formula)
Sent using Guest House WIFI Jamii Forums mobile app