steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Kuna mambo fulani idara ya uhamiaji hawajayaweka sawa
Ukiingia katika tovut ya uhamiaji utakuta kuna vielelezo unavyotakiw kuwa navyo ili upate passport lakini kuna maelezo hawajayaweka vizuri
Mfano:
Kiapo
Wamesema kama huna cheti cha kuzaliwa unatmia kiapo lakin hawajasema kuwa kiapo kina tumiwa na watu waliozaliw mwaka 1980 kurudi nyuma kuanzia mwaka 1981 kuja sasa kiapo hutakiw kutumia.
pia kama kama ulipata chet kupitia mfumo wa rita wa kujaza form mtandaoni pia huwez pata passport kwakuwa vyeti vilivo ombwa mtandaon havina taarifa zote
'Barua ya Mwenyekiti'
Hii haipo kwenye viambatanisho walivyo orodhesha lakin bila barua hati hupati
Wazamini wawili
Hawa hawajaorodheshwa lakini bila hawa hati hupati
Ndugu wawili
Nao hawajaorodheshwa ila bila hawa hati hupati
NB: Vizuri uhamiaji wangekuwa wawazi waweke vigezo na maelezo yote watu waelewe
Ukiingia katika tovut ya uhamiaji utakuta kuna vielelezo unavyotakiw kuwa navyo ili upate passport lakini kuna maelezo hawajayaweka vizuri
Mfano:
Kiapo
Wamesema kama huna cheti cha kuzaliwa unatmia kiapo lakin hawajasema kuwa kiapo kina tumiwa na watu waliozaliw mwaka 1980 kurudi nyuma kuanzia mwaka 1981 kuja sasa kiapo hutakiw kutumia.
pia kama kama ulipata chet kupitia mfumo wa rita wa kujaza form mtandaoni pia huwez pata passport kwakuwa vyeti vilivo ombwa mtandaon havina taarifa zote
'Barua ya Mwenyekiti'
Hii haipo kwenye viambatanisho walivyo orodhesha lakin bila barua hati hupati
Wazamini wawili
Hawa hawajaorodheshwa lakini bila hawa hati hupati
Ndugu wawili
Nao hawajaorodheshwa ila bila hawa hati hupati
NB: Vizuri uhamiaji wangekuwa wawazi waweke vigezo na maelezo yote watu waelewe