Mambo Vipi????????Heri ya Mwaka Mpyaaaaaaaaaaaaaaaaa

kokudo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
2,571
Reaction score
1,760
Poleni na majukumu ya kulisukuma hili gurudumu la MMU hope ni siku kibao hatuonani but niko pamoja na nyinyi kimawazo japo sionekani humu napenda kuwaeleza nawapenda ninyi nyoote pamoja sana
 
Jamani maisha yananipeleka puta dat why sionekani humu but hope mnaniwakilisha vyema
 
Asante mkuu huku hakuna jipya jua tu kama kawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…