Aonjeshwe ban ya kama mwezi.Ndekiwa umejiunga January 17,Sasa hivi ndo unajijua kuwa mgeni??
[emoji40][emoji40]Kwani mtu akiwa mgeni huwa anataka nini?
Mwambie akaribie ila asiwe na mapepe.
Santinooo, mkaribishe mgeni vizuri atakimbia jukwaa ujue [emoji3]Sasa ukiwa mgeni tufanyeje?