mambo wana jf

mambo wana jf

b4theg

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
356
Reaction score
1,208
mimi nina miaka 22 nipo dar! Natafuta gf wa long term relationship. Sina kigezo chochote.aliye tayari tuwasiliane katika Johnekwa2@yahoo.com
 
mimi nina miaka 22 nipo dar! Natafuta gf wa long term relationship. Sina kigezo chochote.aliye tayari tuwasiliane katika Johnekwa2@yahoo.com
Du!
Omba kwanza kukaribishwa na wenyeji kaka/ dada!
Hata salamu hakuna aisee, sasa hata huyo mchumba si atakuogopa mtu usiyesabahi?

Njoo kivyengine bana!
 
mamushka kwakua we ulipatwa kona bar basi kila m2 unataka aende uko?
 
He! Mamushka kumbe hata baa wa long time wanapatikana.ni nikidhani wa short time tu jee wako wa jinsia zote?
 
Back
Top Bottom