Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa anaishia hapo tu kuwavua,na haendi zaidi kwenye mambo ya rangi nyingi ni bora,ila inaweza kuwa hujafunguka ,kwani mikoa ya ukanda huo licha ya laana yao ya asili ya kila aina ya ukatili,pia walilelewa na katili moja hivi na kupewa mibichwa kuwa asiye chama chako haki kumtesa na kumnyanyasa na kufanya hivyo hata mlango wa cheo ulifunguka kwa waaina hiyo😂Mambo ya Hovyo Kabisa, hao Polisi wa Chato wana mambo meusi sana.
Kuna uyo Mmoja anaitwa anakuaga amelewa mpaka muda wa Kazi, anatesa sanaa mahabusu, anawavuaga nguo wanabaki uchi anawapiga kama Ngoma!
Anawamwagia maji baridi na vipigo vya hovyo.
Hata wewe leo unaisaliti timu yako au kampeni ya kujiosha tu😂Kuna afande mmoja anaitwa Masabo alitekwa enzi ya jiwe, mpaka Leo haijulikani alipo, alichukuliwa na Noah