Mambo ya Dar at night

poor thing...May God show her the right path...
 
Biashara matangazo na kutangaza inabidi wakati mwingine udisplay bidhaa zako eh!
 
Mjomba, natafuta nauli mjini lazima nifike!!!!! kwekweee..
 
Mh balaa wajomba!! Aja atuchukue tukapumzike zetu mbinguni hakuna njaa wala hamu ya chochote na lolote hata hayo mambo yetu hatutakua na hamu nayo!!!
 
dar at night,lazima nikayaone na macho yangu.kuna uhondo bila shaka.lakini ndiyo maisha,kazi adimu,mishahara ndiyo hiyo.simpondi huyu dada.ila ushauri wangu,usisahau soksi
 
Ya musa je firahuni vipi atm kama kawaida hiyo 2010hrs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…