Mambo ya fwedha

Mitchell

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
904
Reaction score
1,036
Jamaa mmoja alikuwa na demu wake wa muda mrefu sasa akaamua amvalishe pete ya uchumba. Jamaa kaingia dukani akaona pete nzuri sana ya gold ile kuiona tu mshtuko ukampata akajamba, kisha akamuuliza muuzaji hii pete shi ngapi? Jamaa akamjibu shingapi? we mwenyewe kuiona tu umejamba je nikikwambia bei si ndio utakunya kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…