Mambo ya Kiimani hayo

Mambo ya Kiimani hayo

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Yaani inawezekana kabisa unampiga vita kiboko ya wachawi halafu unamuunga mkono Martha Mwaipaja kwa kiwango cha 100%

FB_IMG_1722497004581.jpg
 
Ukishaona mtu anajiita Mtumishi wa Mungu halafu anatembea na Mabodigadi hapo hamna kitu.

Bora Wazee tuendelee kuabudu kwenye miti na mapango kuliko kwenda kuabudu Kwa hao matapeli
Yupo sahihi kutembea na bodigadi.Kama ni tapeli na akakutana mtu alishamlia milioni mbili zake si atampiga mitama😆
 
Yupo sahihi kutembea na bodigadi.Kama ni tapeli na akakutana mtu alishamlia milioni mbili zake si atampiga mitama😆
Hahahaha...............huenda hiyo ikawa ndiyo sababu, maana wengi wao wanatembea na Mabodigadi Siku hizi

Hawaamini Ulinzi wa Mungu wanaomuabudu na kumuhubiri 🙌
 
Back
Top Bottom