Elections 2010 Mambo Ya Kikwete: Shule ya Shilingi billion 4.3 yajengwa Bagamoyo

Unaya wa kujenga shule kama hiyo, na Kibaha nao watataka utawajengea nao ? Shule ya bei ghali kama hiyo walimu utawalipa mishahara ya kawaida au na mishahara yao itakuwa na hadhi ya shule?

Generally speaking, huhitaji kuwa na shule expensive sana ili watoto wasome, hususan kama nchi masikini.

On the other hand, bilioni shilingi 4.3 hazifiki hata dola milioni 3, kwa hiyo bora hata wanavyojengea shule, kama majengo ni ya kisasa, imara na yatadumu, kuliko kujengea nyumba ya gavana wa benki kuu.
 
Ya kwake inaitwa Baobab kama sikosei,ipo unapoanza tu kuingia Bagamoyo ukitokea Dsm..


.....jamani hiyo shule ya baobab siyo ya JK ...Ni ya QS mmoja chuo kikuu cha ardhi namjuwa in person ila sioni sababu ya kumtaja hapa.....sometimes tumtendeeni JK haki yake ..ikiwemo ya kumpiga madongo ya ukweli ...
 
.....jamani hiyo shule ya baobab siyo ya JK ...Ni ya QS mmoja chuo kikuu cha ardhi namjuwa in person ila sioni sababu ya kumtaja hapa.....sometimes tumtendeeni JK haki yake ..ikiwemo ya kumpiga madongo ya ukweli ...

Una hakika ndugu?? Na lile ghorofa la pale Msamvu??
 
this is what we call exploitation of public fund and tax payers money!duh brother Jk hiyo himezidi tuonee huruma wananchi wako kwa jinsi unavyotunyonya hata hiyo damu kdg tuliyonayo plz.
 
hiyo 'skuli' inaelea hewani au? give more details About fu@€-,g,=k skuli pleeeeeeeeeeeeeease! wana jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…