Mambo ya kustaajabisha kuhusu Japan

Mambo ya kustaajabisha kuhusu Japan

fungi6

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2017
Posts
287
Reaction score
266
Je, wajua kuwa Japan wanalo onyesho la uume 😌 maonyesho haya yanajulikana sana kama "KANAMARA MATSURI" ikimaanisha onyesho la kuiba uume huwa yanaonyeshwa kila mwaka mwanzoni mwa mwezi wa nne kila Jumapili ya kwanza.

Jap.jpg

Pia Japan ina idadi ndogo ya watoto wazaliwao ikiwa inatokea kwa sababu watu kutokua na muda wa kuzaa na pia inatokea kwa sababu ya kutokua na hela maana huwa wanatenga kiasi cha fedha kwa ajili ya malezi kabla ya mtoto kuzaliwa.

Japan ni nchi ya kwanza duniani kuwa na binadamu wenye kuishi miaka mingi kiw binadamu mkubwa kwa karne hii yupo japan akiwa na umri wa miaka 117 akifwatiwa na mwingine mwenye miaka 116. Japan ni nchi yenye idadi ndogo sana ya uhalifu na ujambazi duniani ikiongoza kwa hili.

Pia ina jumla ya visiwa 6,852 Ambavyo vinatengeneza nchi moja iitwayo JAPAN

Nyumba za Wajapani wengi ni nyumba nzuri na ni safi za hali ya juu sana. Wengi uchukia uchafu ndani ya nyumba kiasi kwamba wajapan wengi sio wakaribishaji watu ndani ya nyumba zao kwa kuofia uchafu, na wengine kwa ajili ya tamaduni zao na Vitu vya kimila vilivyo ndani ya nyumba zao.

Usafi ni somo kama masomo mengine ya shuleni na ufanyiwa mpaka UE
 
Napenda sana life style yao, inawaacha wasafi wa roho na nafsi ndio maana wanaishi sana na ndio maana hawana pepo la uhalifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ata ukicheki documentary zao kuna jamaa anauwezo mkubwa mno wakukaa kwenye maji ya bahari kwa 20mnt bila vuta pumzi yani uwa anafanya yoga kwanza kabla yakuingia baharini anapumzi mno
 
Sasa maisha bila watoto, kuna raha gani?
Kuweka akiba ya fedha kabla mtoto kuzaliwa, wana ahadi na Mungu kwamba mtoto atakuwa vipi?

Taifa lisilopokea watoto ni taifa mfu, bila matumaini, kwa sababu watoto ni taifa la kesho.
Kama hali yao iko hivyo basi tutarajie mwisho wa kuwepo wajapani, kwa sababu baada ya muda watu wa mataifa mengine wataingia na kichukua uenyeji wa taifa la kijapani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuishi Tokyo kwa takriban mwaka mzima ningali kijana, kufanya mapenzi na wanawake wa kijapani ilikuwa ni kama kujaribu free samples.

Wewe gharama yako ni kulipia chumba cha love hotel tu. Halafu ilikuwa haijalishi kama wameolewa au hapana wote walikuwa mkumbo mmoja tu- kati ya saa kumi na saa moja jioni, ila walikuwa wanapiga kelele sana chumbani utadhani unawaumiza kumbe ndiypo raha yao.
 
Nawakubali sana wajapan. Wana NIDHAMU mno, kuanzia ya muda, usafi, mavazi mpaka kwenye ulaji. Desturi yao ya kutowapa mitihani watoto wadogo shuleni huku wakifundishwa tu kufanya usafi kwa mikono yao pasipo kujali cheo wala nafasi ya wazazi wao, inanigusa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawakubali sana wajapan. Wana NIDHAMU mno, kuanzia ya muda, usafi, mavazi mpaka kwenye ulaji. Desturi yao ya kutowapa mitihani watoto wadogo shuleni huku wakifundishwa tu kufanya usafi kwa mikono yao pasipo kujali cheo wala nafasi ya wazazi wao, inanigusa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
ndo vile vitoto huwa naviona capital tv vinanawa mikono nilikuwa sijawaela kumbe ndo shule yao ipo hapo?
 
Na ni watu wenye kiu mno katika kujaribu kitu uwa awana fear
 
Sasa maisha bila watoto, kuna raha gani?
Kuweka akiba ya fedha kabla mtoto kuzaliwa, wana ahadi na Mungu kwamba mtoto atakuwa vipi?

Taifa lisilopokea watoto ni taifa mfu, bila matumaini, kwa sababu watoto ni taifa la kesho.
Kama hali yao iko hivyo basi tutarajie mwisho wa kuwepo wajapani, kwa sababu baada ya muda watu wa mataifa mengine wataingia na kichukua uenyeji wa taifa la kijapani

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss i dunia ni ya watu bilion and more uwez jua kila iman duniani kua nikama yako o wa tz wengine uoni india wana abudu mpka ngombe so. Let it be simple kua we believe in God
 
Sio kila mtu yupo tiar zaa,,,,wenzetu kuzaa sio tatizo, tatizo ni je unae mzaa utakua na uakika wakumpa all human needs kwa uakika bila leta ongezeko la street children's??????
 
Je, wajua kuwa Japan wanalo onyesho la uume 😌 maonyesho haya yanajulikana sana kama "KANAMARA MATSURI" ikimaanisha onyesho la kuiba uume huwa yanaonyeshwa kila mwaka mwanzoni mwa mwezi wa nne kila Jumapili ya kwanza.


Pia Japan ina idadi ndogo ya watoto wazaliwao ikiwa inatokea kwa sababu watu kutokua na muda wa kuzaa na pia inatokea kwa sababu ya kutokua na hela maana huwa wanatenga kiasi cha fedha kwa ajili ya malezi kabla ya mtoto kuzaliwa.

Japan ni nchi ya kwanza duniani kuwa na binadamu wenye kuishi miaka mingi kiw binadamu mkubwa kwa karne hii yupo japan akiwa na umri wa miaka 117 akifwatiwa na mwingine mwenye miaka 116. Japan ni nchi yenye idadi ndogo sana ya uhalifu na ujambazi duniani ikiongoza kwa hili.

Pia ina jumla ya visiwa 6,852 Ambavyo vinatengeneza nchi moja iitwayo JAPAN

Nyumba za Wajapani wengi ni nyumba nzuri na ni safi za hali ya juu sana. Wengi uchukia uchafu ndani ya nyumba kiasi kwamba wajapan wengi sio wakaribishaji watu ndani ya nyumba zao kwa kuofia uchafu, na wengine kwa ajili ya tamaduni zao na Vitu vya kimila vilivyo ndani ya nyumba zao.

Usafi ni somo kama masomo mengine ya shuleni na ufanyiwa mpaka UE
Duuh! Onyesho la uume 😳 vip kuhusu onyesho la uke.
 
Back
Top Bottom