Mambo ya kuzingatia ili kudhibiti maambukizi ya #COVID19 wakati wa Ibada

Mambo ya kuzingatia ili kudhibiti maambukizi ya #COVID19 wakati wa Ibada

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20200509_194659_063.jpg


Viongozi wa Dini wana nafasi kubwa ya kuikinga jamii dhidi ya maambukizi ya #CoronaVirus

Wizara ya Afya imetoa muongozo ambao Viongozi wa Dini wanapaswa kuuzingatia ili kudhibiti maambukizi ya #CoronaVirus

1: Hakikisha unatoa elimu kwa waumini kuhusu #COVID19

2: Hakikisha kwenye nyumba ya Ibada kuna sehemu ya kunawia mikono

3: Waumini wanawe mikono kwa Sabuni na Maji tiririka kabla ya kuingia kwenye Ibada

4: Idadi ya vipindi vya ibada iongezwe ili kuepusha msongamano

5: Waumini wakae umbali wa hatua 3 kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine

6: Hakikisha Waumini hawapeani mikono kabla, baada au wakati wa Ibada
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom