Mambo ya kuzingatia ili kudhibiti maambukizi ya #COVID19 wakati wa Ibada

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Viongozi wa Dini wana nafasi kubwa ya kuikinga jamii dhidi ya maambukizi ya #CoronaVirus

Wizara ya Afya imetoa muongozo ambao Viongozi wa Dini wanapaswa kuuzingatia ili kudhibiti maambukizi ya #CoronaVirus

1: Hakikisha unatoa elimu kwa waumini kuhusu #COVID19

2: Hakikisha kwenye nyumba ya Ibada kuna sehemu ya kunawia mikono

3: Waumini wanawe mikono kwa Sabuni na Maji tiririka kabla ya kuingia kwenye Ibada

4: Idadi ya vipindi vya ibada iongezwe ili kuepusha msongamano

5: Waumini wakae umbali wa hatua 3 kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine

6: Hakikisha Waumini hawapeani mikono kabla, baada au wakati wa Ibada
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…