J JamiiTalks JF Advocacy Team Joined Aug 7, 2018 Posts 685 Reaction score 1,124 May 9, 2020 #1 Viongozi wa Dini wana nafasi kubwa ya kuikinga jamii dhidi ya maambukizi ya #CoronaVirus Wizara ya Afya imetoa muongozo ambao Viongozi wa Dini wanapaswa kuuzingatia ili kudhibiti maambukizi ya #CoronaVirus 1: Hakikisha unatoa elimu kwa waumini kuhusu #COVID19 2: Hakikisha kwenye nyumba ya Ibada kuna sehemu ya kunawia mikono 3: Waumini wanawe mikono kwa Sabuni na Maji tiririka kabla ya kuingia kwenye Ibada 4: Idadi ya vipindi vya ibada iongezwe ili kuepusha msongamano 5: Waumini wakae umbali wa hatua 3 kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine 6: Hakikisha Waumini hawapeani mikono kabla, baada au wakati wa Ibada Upvote 0
Viongozi wa Dini wana nafasi kubwa ya kuikinga jamii dhidi ya maambukizi ya #CoronaVirus Wizara ya Afya imetoa muongozo ambao Viongozi wa Dini wanapaswa kuuzingatia ili kudhibiti maambukizi ya #CoronaVirus 1: Hakikisha unatoa elimu kwa waumini kuhusu #COVID19 2: Hakikisha kwenye nyumba ya Ibada kuna sehemu ya kunawia mikono 3: Waumini wanawe mikono kwa Sabuni na Maji tiririka kabla ya kuingia kwenye Ibada 4: Idadi ya vipindi vya ibada iongezwe ili kuepusha msongamano 5: Waumini wakae umbali wa hatua 3 kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine 6: Hakikisha Waumini hawapeani mikono kabla, baada au wakati wa Ibada
G Guasa Ambonii JF-Expert Member Joined Aug 13, 2015 Posts 8,545 Reaction score 10,283 May 11, 2020 #3 Duh!