Mambo ya kuzingatia maishani

Mambo ya kuzingatia maishani

Muabudu Mungu ipasavyo, tafuta hela za kutosha, fanya mazoezi, jali familia yako, Mpende mkeo, kula bata, saidia wengine, jiepushe na ugonvi jielimishe kadiri uwezavyo jaribu kuitafuta talanta yako (kipaji) epuka jinai. Mengine mnaweza kuongezea.
Kisasi ni sehemu ya haki.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom