Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Bajaj Boss1. Angalia sana vibao vya "No Way" na "No U-Turn" etc
2. Heshimu sana sana Zebra na Mataa. Matrafiki wanajificha sana kwenye ayo maeneo.
3. Angalia sana unapopark. Utachubuliwa na wasukuma mikokoteni na magari ya mizigo.
4. Uwe full na Leseni, Kopi ya Kadi, Fire Extinguisher, Triangle Mbili.
5. Usiwe na madeni, lipia bima.
6. Usiwe bahili wa kutoa elfu 5 kwa trafic.
Hafu mbona Uber na Bolt hazipo mzee. We unaongelea Moovin au?
Katika hayo yote, hili ndio muhimu zaidi! Alishike na kuishi nalo ila la mwisho, akikamatwa hata kwa bahati mbaya, asije kujifanya anajua sana sheria na majibizano na Askari6. Usiwe bahili wa kutoa elfu 5 kwa trafic.