Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujuze ili tufahamu uzito wa mtungi bila gesi tutaufahamu vipi uli kujumlisha na kiwango sahihi cha gesi kilichopo kwenye mtungi?View attachment 1746487
Unaponunua gesi ya kupikia, hakikisha imepimwa kwenye mzani na mtungi umefungwa lakiri (seal)
Kumbuka: Anayeuza gesi bila mzani wa kupimia anafanya kosa na faini yake ni Tsh 3,000,000/-
Gas zinauzwa mitaani kama ice cream za Bakhresa na hakuna cha mizani na hakuna anaepigwa faini tuacheni jamaniView attachment 1746487
Unaponunua gesi ya kupikia, hakikisha imepimwa kwenye mzani na mtungi umefungwa lakiri (seal)
Kumbuka: Anayeuza gesi bila mzani wa kupimia anafanya kosa na faini yake ni Tsh 3,000,000/-
Butcher kwenyewe mizani zipo na bado tunapigwa .
Mzani upi ulitumiaKuna siku nilinunua gesi nikaipima duuh majanga aisee 12.5 Kgs duuh nikakuta ngoma Inachezea kwenye 9.5 Kgs [emoji16][emoji16][emoji16] Kiukweli Mizani ni muhimu sana
Mimi naendaga zile Bucha zinazoandikwa "Halal Bucha" kukwepa kupigwa...huwa naamini kule walau.Na Bado wanashikwa balaa siku hizi hao mawakala wanatembea balaa
Mimi naendaga zile Bucha zinazoandikwa "Halal Bucha" kuwepa kupigwa...huwa naamini kule walau.
Kwani unapigwa na Halal au na watu !!!Mimi naendaga zile Bucha zinazoandikwa "Halal Bucha" kukwepa kupigwa...huwa naamini kule walau.
sasa si watu wote tutachagua vinonoWale ni Professional Mkuu. Yaani Bucha unachagua upate sehemu gani ya Mnyama Ngo’mbe [emoji16]