Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

Nawasoma tu ahsanteni sana wataalamu. Kuna wengine hata leseni tuliletewa nyumbani.
Very educative. JF idumu dawamu!
 
Ni thread nzuri. Ni vizuri kucheki hizo spec zilizowekwa hapo juu ikiwa pamoja na maximum load capacity ya kila tairi, na maximum speed. pia date manufacture. Muchunguze kuhusu hilo. Ni muhimu kwa garu lako.
 
Imebidi niseme tu, haki ya nani wametuelimisha pakubwa, mimi nilikua nafika tu nawaambia wajaza upepo nijazieni upepo hata sijui kupima wala cha nini, tire rotation ndio nilikua siijui kabisaaaa, lakini sasa nitakua napima upepo vizuri, nafanya tire rotaion na mengine mengi sana nilojifunza humu. Mungu awabariki wote waliotuelimisha!
 
mkuu unaendesha gari gani, nataka kujua ili nikujuze , D, 1, 2,3 +1/_2 kama zipo
Hapo msaada tutani mi nina Honda ina D1 mpka D4 kisha N, R, na P vip hizi zinatumika wapi, mi daima natumia D4 muda wote
 
Shida ya hii kitu ni kwamba ukienda kununua tairi unakuta iko wrapped kwenye zile nylon zake kiasi kwamba huwezi kuona ndani na mwenye duka anakwambia ukiivua ili uione lazima uinunue sasa hapo ndo mushkili
 
Shida ya hii kitu ni kwamba ukienda kununua tairi unakuta iko wrapped kwenye zile nylon zake kiasi kwamba huwezi kuona ndani na mwenye duka anakwambia ukiivua ili uione lazima uinunue sasa hapo ndo mushkili
Na wewe si umpe condition Mkuu, mwambie nalipia na naifungua hapahapa ila kama haijatengenezwa mwaka huu unanirudishia pesa yangu... Kwani duka ni moja?
 
Mkuu nimekuoa kwa nguvu ya tano maana hii kitu kwangu ilikuwa ni kitendawilo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka hapa mbona kama mi ninamtizamo tofauti na wako.!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninatunia gx110 ilikua na rim size17 ila nataka kuweka rim size 18 je hii italeta tatizo manaa lengo ni kuifanya gari kuwa juu kidgo
 
Starlet silence ipo normal Ila inatikisika bodi nini tatizo?
 
Ukute mchina kakuandikia traction A,temperature A cjui nn A...sasa ingia hapo road ndo utajua kwann wale jamaa ni wafupi.
 
Mkuu plug zipo vyema engen mounting Moja imetepeta naona ndo probl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…