Mambo ya kuzingatia unapovaa barakoa

Mambo ya kuzingatia unapovaa barakoa

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
0001-17601350179_20210301_110612_0000.png


Safisha mikono yako kabla ya kuvaa barakoa, vilevile kabla na baada ya kuivua na baada ya kuigusa wakati wowote

Ukivaa barakoa hakikisha inafunika pua yako, mdomo na kidevu

Unapovua barakoa, ihifadhi kwenye mfuko safi wa plastiki na kila siku uioshe ikiwa ni barakoa ya kitambaa na kama ni barakoa ya kitabibu tupa kwenye pipa la takataka mara baada ya kuitumia
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom