Mambo ya kuzingatia utapoamua kujiunga na Wahuni au genge la Wanywa Damu za Watu

CCM NDIO CHAMA
 
Taikon anatokea ukoo wa machifu, kama tu Rabbon , hivyo Wana mambo mengi kichwani.

Anyway, congo vs Pk any time soon

We are now counting down! Tshisekedi alishatangaza vita vs PK kwny uchaguzi na lengo la kupeleka majeshi ya SADC ikiwemo JWTZ ni ili wakati SADC wanapambana na M23 jeshi la DRC lielekeze nguvu zake zote dhidi ya PK kuepusha kugawa vikosi! Master mind PK sijui anaplan gani maana hakaagi kizembe yule mtu
 
Tshisekedi aongezewe ulinzi, wasingeibuka waasi from within wakammaliza.
 
Naongezea tambua kuwa wahuni huwa hawana urafiki wakudumu wala uadui wakudumu ila wana maslai ya kudumu.
 
Sahihi kabisa, haya nayasadikisha ktk movie1 inaitwa snowfall #frenklin ndio maisha alikua anayaishi na akina mtu 1wakuitwa Avi Boss wa madawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa umewapa wadau mafia code kali sana ila point ya pili ni muhimu sana ya usiri, Italian mafia wana kitu inaitwa Ormeta au code of silence yan kuropoka n kujinunulia ticket ya kifo mapema sana
 
Nimesoma huu uzi kwa utulivu mnoo kazi kwako ndugu muhandishi ilo genge la wanyonya damu nalipataje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…