Na hapo ulipo umefunga na ukifungulia tu straight kwenye nyagi kama kawaida.
Hapo namna tisa hapo inanikumbusha wasambaa kwenye mabasi yao wote wanapewa mifuko maalum kwa ajili ya kutapika.
It was a new experience for me ila washambaa wanafurahisha sana na mambo yao.