Mambo ya long weekend

Mambo ya long weekend

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
~ Kuna mtu ametuma nauli na mhusika amekaribia kufika [emoji16].

~ Halafu kuna wale tangu walipotuma nauli simu hazipokelewi kabisa.

~ Kisha kuna wale wanaosafiri kwa kutumia nauli zao na hawatarudishiwa.

~ Kuna mwingine yupo kituoni muda huu na mwenyeji wake hapatikani, hana pa kufikia wala hana hela.[emoji16][emoji16]

~ Kuna aliyekula chocho baada ya kumuona anayempokea. [emoji16][emoji16][emoji2210][emoji2210]

~ Mwingine anatamani angetumiwa nauli, wa kumtumia ndiyo hakuna. [emoji32][emoji32]

Kila mtu anajua muda huu anapambana na hali gani![emoji16][emoji16]



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sie wenye wake na watoto tupo kusikiliza mikelele ya Cocomelon kwa siku 3 mfululizo.

Toka saa kumi nasikia za wheel on the bus goes round and round mpaka najikuta na mimi naiimba baada ya kunikera. Na huu ndio mwendo wa siku 3 zijazo.
 
Kuna mtu ametuma nauli na mhusika amekaribia kufika [emoji16].

Halafu kuna wale tangu walipotuma nauli simu hazipokelewi kabisa.

Kisha kuna wale wanaosafiri kwa kutumia nauli zao na hawatarudishiwa.

Kuna mwingine yupo kituoni mda huu na mwenyeji wake hapatikani ,hana pa kufikia wala hana hela[emoji16][emoji16]

Kuna alokula chocho baada ya kumuona anayempokea [emoji16][emoji16][emoji2210][emoji2210]

Mwingine anatamani angetumiwa nauli wa kumtumia ndio hakuna [emoji32][emoji32].

Kila mtu anajua mda Huu anapambana na hali gani[emoji16][emoji16]



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe uo kundi gani mkuu?
 
Kuna mtu ametuma nauli na mhusika amekaribia kufika [emoji16].

Halafu kuna wale tangu walipotuma nauli simu hazipokelewi kabisa.

Kisha kuna wale wanaosafiri kwa kutumia nauli zao na hawatarudishiwa.

Kuna mwingine yupo kituoni mda huu na mwenyeji wake hapatikani ,hana pa kufikia wala hana hela[emoji16][emoji16]

Kuna alokula chocho baada ya kumuona anayempokea [emoji16][emoji16][emoji2210][emoji2210]

Mwingine anatamani angetumiwa nauli wa kumtumia ndio hakuna [emoji32][emoji32].

Kila mtu anajua mda Huu anapambana na hali gani[emoji16][emoji16]



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hahahahaha,dah
 
Mimi nahitaji kampani ya leo na kesho.
Ni mwanaume nipo Ubungo
Karibu PM.
 
Mimi nimerudi kazini nusu saa iliyopita, mwili unauma uchovu hapa nikulala tu
 
Back
Top Bottom