Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Kisuma ya WapiNiko hapa kisuma bar najimama ilo kweli weekend ndefu sana
Ndo Raha ya watoto 🤜Sie wenye wake na watoto tupo kusikiliza mikelele ya Cocomelon kwa siku 3 mfululizo.
Kabisa. Unakereka na kelele lakini zisipokuwepo unazimiss.Ndo Raha ya watoto 🤜
Wewe uo kundi gani mkuu?Kuna mtu ametuma nauli na mhusika amekaribia kufika [emoji16].
Halafu kuna wale tangu walipotuma nauli simu hazipokelewi kabisa.
Kisha kuna wale wanaosafiri kwa kutumia nauli zao na hawatarudishiwa.
Kuna mwingine yupo kituoni mda huu na mwenyeji wake hapatikani ,hana pa kufikia wala hana hela[emoji16][emoji16]
Kuna alokula chocho baada ya kumuona anayempokea [emoji16][emoji16][emoji2210][emoji2210]
Mwingine anatamani angetumiwa nauli wa kumtumia ndio hakuna [emoji32][emoji32].
Kila mtu anajua mda Huu anapambana na hali gani[emoji16][emoji16]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hahahahaha,dahKuna mtu ametuma nauli na mhusika amekaribia kufika [emoji16].
Halafu kuna wale tangu walipotuma nauli simu hazipokelewi kabisa.
Kisha kuna wale wanaosafiri kwa kutumia nauli zao na hawatarudishiwa.
Kuna mwingine yupo kituoni mda huu na mwenyeji wake hapatikani ,hana pa kufikia wala hana hela[emoji16][emoji16]
Kuna alokula chocho baada ya kumuona anayempokea [emoji16][emoji16][emoji2210][emoji2210]
Mwingine anatamani angetumiwa nauli wa kumtumia ndio hakuna [emoji32][emoji32].
Kila mtu anajua mda Huu anapambana na hali gani[emoji16][emoji16]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
SafiKabisa. Unakereka na kelele lakini zisipokuwepo unazimiss.
Ni faraja inayokera kwa vizuri.
Mbona sasa waniteta jamani? Umeshapata choir master wakukupelekea moto?Tuliojaaliwa hamu kesho tutaamka saa nane huku miguu ikitetemeka, migongo na viuno inauma break ya kwanza kwenye friji kutafuta vibaki baki kupoza njaa.....halafu kuna limtu linasema hakuna kuoa lione.
mzabzab nakutakia weekend njema
Jisogeze Riverside mzeeMimi nahitaji kampani ya leo na kesho.
Ni mwanaume nipo Ubungo
Karibu PM.
Jisogeze Riverside mzee
Mimi nimerudi kazini nusu saa iliyopita, mwili unauma uchovu hapa nikulala tu
Unatakiwa upate wa kukupa massage asee!Mimi nimerudi kazini nusu saa iliyopita, mwili unauma uchovu hapa nikulala tu