Ndugu, Habari
Dawa pekee ni ulinzi wa Mungu TU. Kwa nini nasema ivo? Nguvu ya Mungu ni zaidi ya nguvu za kichawi, majini, mizimu na Shetani. Ni kweli shetani na mawakala wake wanatoa nguvu lakini masherti yake na matokeo yake ni mabaya na ni kinyume na Mapenzi ya Mungu. Kwahiyo Ndugu, njoo kwa Munngu atalknda biashara yako na kila kitu chako.
Cha pili ni kwamba biashara ni mikakati ya akili ambazo Mungu ametupa kila mmoja. Mfano
1. uza bidhaa zinazo uzika (zenye mzunguko mkubwa)
2. Weka biashara yako sehemu sahii
3. Biashara yako na ijulikane (tangaza)
4.nk nk
Kiongozi kwa msaada zaidi na huduma zetu hapo chini, tupigie
HUENDA WAHITAJI...
* Kusajili kampuni
* Annual Retur - Brela
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402
BEI ZETU HAZINA USHINDANI, MIKOANI PIA TUNAHUDUMIA
Ushauri ni Bure...
Sent using
Jamii Forums mobile app