Mambo ya Maktaba

Mambo ya Maktaba

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523
Mambo ya mitego hayo!

attachment.php
 
mi nimeshawahi kufanyiwa hivyo pale UD....nilitokwa na jasho la pua...ila kidume nikamalizana nae badae.
 
Hiyo inatishs sana. naona hakuna anayeweza kupona kama hali itakuwa hivyo.
 
Kweli unatutia vishawishini sana kutukonyeza hivyo. Ebu acha utahukumiwa.
 
kazi kweli kweli na tuvazi twa aina hiyo kwenye miili ya aina hiyo.......mbona kiwango cha ufaulu kitaongezeka???:coffee:
 
Back
Top Bottom