Mambo ya Maktaba

mi nimeshawahi kufanyiwa hivyo pale UD....nilitokwa na jasho la pua...ila kidume nikamalizana nae badae.
 
Hiyo inatishs sana. naona hakuna anayeweza kupona kama hali itakuwa hivyo.
 
Kweli unatutia vishawishini sana kutukonyeza hivyo. Ebu acha utahukumiwa.
 
kazi kweli kweli na tuvazi twa aina hiyo kwenye miili ya aina hiyo.......mbona kiwango cha ufaulu kitaongezeka???:coffee:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…