pamiho
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 271
- 36
Nahitaji ushauri wenu wana JF, mimi nina rafiki ambaye tulifahamiana toka niko sekondari kama family friend. Tulipoteana kwa muda wa miaka 8 hivi kisha tukaaza kuwasiliana tena mwaka huu (family friendship) tukaaza kuwa na mawasilanao ya kimapenzi ingawa tuko mabara tofauti tukitafuta elimu. Tunapendana sana na ameamua kuniomba afanye taratibu za kuoana ili tukirudi tu Tanzania tuoane.
Niliamua kuuliza nyumbani (Aunt yangu) kama tunaweza kuoana na huyo kijana nikajibiwa kuwa huyo kijana ndo awaulize wakubwa wa kwao. Tatizo ni kwamba inasemekana kwa mila zetu, haturuhusiwi kuoana watu tunaotokea eneo moja nami hizo mila sizijui, naye anasisitiza kuwa inawezekana, sasa ooooooh hata sijui nifanyeje hapa make sijampata mwingine ila yeye.
Msaada tafadhali
Niliamua kuuliza nyumbani (Aunt yangu) kama tunaweza kuoana na huyo kijana nikajibiwa kuwa huyo kijana ndo awaulize wakubwa wa kwao. Tatizo ni kwamba inasemekana kwa mila zetu, haturuhusiwi kuoana watu tunaotokea eneo moja nami hizo mila sizijui, naye anasisitiza kuwa inawezekana, sasa ooooooh hata sijui nifanyeje hapa make sijampata mwingine ila yeye.
Msaada tafadhali