mambo ya Mnyika



Huu ni mfano halisi wa watanzania.Hatujui tunachokitaka.tupo tupo tu.
 
Unajua huyu jamaa alikuwa anamzimia na kumkubali Mbunge wa CDM sema ndugu zake SISI M kama kawa kuhonga TShirt na kofia jamaa akaona haina nongwa ngoja aivae!
 
Unajua huyu jamaa alikuwa anamzimia na kumkubali Mbunge wa CDM sema ndugu zake SISI M kama kawa kuhonga TShirt na kofia jamaa akaona haina nongwa ngoja aivae!

Inawezekana pia kuwa jamaa ni Chadema lakini kwenye urais alikuwa anamkubali sana JK ndio maana pamoja na uUchadema wake lakini alikuwa anatembea na tshirt ya kumfagilia JK bila kujali chochote, na ndio maana pamoja na Chadema kupata wabunge kwenye majimbo 23, katika majimbo 11 miongoni mwa hayo, JK alishinda kwa mbali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…