mbeyaboyfrancy
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 248
- 91
AmetuaaaMavugooo
Ngoja wahuni wa mtaa wa Msimbazi pale wampole bila kumvua.Kavaa hereni? [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Kitakuwa cha Arusha. Tena kile chenyewe kabisa ambacho hakija chambuliwa mbegu zake.Hutu Mavugo huwa anakula cha wapi ? Arusha au Bujumbura?
Mkuu unawafahamu;Hahahaaaa
Hakuna kitu kibaya kama kuwa, spare tyre (yaani gurudumu la akiba)
Ndicho alichofanya mavugo baada ya kufeli ufaransa kaja uswazi
Wenyew tunasherehekea wicked people with wicked minds
With Pathetic Hopes
Hahahaaaa
Hakuna kitu kibaya kama kuwa, spare tyre (yaani gurudumu la akiba)
Ndicho alichofanya mavugo baada ya kufeli ufaransa kaja uswazi
Wenyew tunasherehekea wicked people with wicked minds
With Pathetic Hopes
Wamchunge vizuri siku atapiga cha Bujumbura atafunga goli kwenye team yakeKitakuwa cha Arusha. Tena kile chenyewe kabisa ambacho hakija chambuliwa mbegu zake.
Mkuu unawafahamu;
1. Haterm Ben Arfa?
Huyu jamaa "alfeli" Newcastle.. wakamtimua.. Akarudi Ufaransa, kapata timu.. Msimu huo huo.. Kapiga mpira Mwingi sana na kawa one of the Best Player msimu uliopita.. Matokeo yake msimu huu kasajiliwa PSG.
2. Vincent Bossou?
Huyu jamaa "alifeli" katika moja ya ligi mbovu na za ovyo kabisa duniani nchini Korea Kusini.. Akatupiwa virago akaja Tanzania.. Na sasa ni beki tegemeo pale Jangwani.
Mifano ni mingi sana.. Ila nilichotaka kukuonesha hapa ni kua, kushindwa sehemu moja.. Haimaanishi inakuzuia kufanikiwa sehemu nyingine.
Nachoomini ile tabia ya Mavugo ya kufunga magoli 29 katika mechi 28 ipo pale pale [tabia hii wanayo watu wawili tu Dunia hii, Messi na CR7.. Siku hizi Suarez nae anaiga.].. Ndo maana alienda kufanya majaribio Ufaransa.
Nakumbuka Danny SSERENKUMA alivyotua kwa mbwembwe nyingi hadi akapokewa na lundo la Mashabiki wa Simba ila wakiondokaga hata awasindikizwi. [/QUOTE
ACHA WIVU