Mambo ya Muungano kwenye Rasimu ya Katiba

Wakuu serikali ya Tanganyika is INEVITABLE AT THE CURRENT SITUATION kama mna hang over ya mawazo ya kale ndio mnang'ang'ania serikali mbili. Tanganyika ni nchi iliyokabidhiwa uhuru wake tarehe 9 Disemba 1961 mbona mnaipoteza historia yetu
 

Mpendwa Jacobus; hayo yanayotegemewa kuwa ya muungano yametajwa yako saba tu na hayo ndiyo yaleyale yatakayokuwemo kwenye shirikisho la EA sasa shirikisho la serikali ya muungano wa Tanzania ya nini ?
 

Nakuunga mkono mkuu.
 
Mpendwa Jacobus; hayo yanayotegemewa kuwa ya muungano yametajwa yako saba tu na hayo ndiyo yaleyale yatakayokuwemo kwenye shirikisho la EA sasa shirikisho la serikali ya muungano wa Tanzania ya nini ?
Hata mimi mkuu nasangaa kwani 'Hati ya Muungano" tunaambiwa yalikuwa 11 sasa kuyapunguza na kuwa 7 tuu maana yake ni nini? Naweza kukubaliana nawe kuwa hakuna haja ya Tanzania kama hati ya muungano haikuheshimiwa!
 
Serikali za washirika hazitafanya jambo lolote la kimataifa bila ya kushirikisha jamhuri za muungano, ikiwemo kukopa nje, kuwa na mashirikiano na nchi za nje.
 
we minyoo kweli bba wa taifa ndo nani pimbi wee
 
nyinyi wanyika tunawaburuza tuuuu nyinyi.. mpaka kiama henu mkione..akili hamna hata kidogo.. sisi zanzibar tupo kidogoo tunaburuza ma milioni.. na tutaendelea. tulianza kuchange aina ya muungano mkawa mnajichekea now mko tele kwenye hili gurudumu... basi jitayarisheni...tunalotaka sisi ndo hilo hilo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…