Lekanjobe Kubinika JF-Expert Member Joined Dec 6, 2006 Posts 3,019 Reaction score 579 Sep 29, 2010 #1 Sio wote wanaofeli hawana akili, wanazidiwa akili na mazingira magum ya kujisomea. Attachments College life.jpg 87.3 KB · Views: 91
BornTown JF-Expert Member Joined May 7, 2008 Posts 1,716 Reaction score 482 Sep 29, 2010 #2 :becky::becky::becky: hii kiboko lazima matirio yote yakimbie
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Sep 29, 2010 #3 Kali sana. Nakumbuka nikiwa chuo kuna dada aliyasogeza makalio yake hadi kwenye paradiso yangu. Kitu kikamchoma, akanikata jicho moja la hatari hatari... Nikamwambia mwanamume hatishiwi pipi
Kali sana. Nakumbuka nikiwa chuo kuna dada aliyasogeza makalio yake hadi kwenye paradiso yangu. Kitu kikamchoma, akanikata jicho moja la hatari hatari... Nikamwambia mwanamume hatishiwi pipi
Mtende JF-Expert Member Joined Sep 27, 2010 Posts 6,385 Reaction score 7,332 Sep 29, 2010 #4 hahahaaha duuuh,kweli mazingira magumu hayo