Mambo ya tanga hayoo

Kijana Jr

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
560
Reaction score
845
Nikawaida mtoto mdogo kuveshwa shang a......
Majina yao wengi huanzia na she..
.shekidege
.shembui
.shekwavi
.shebalua
.shekalange
.shemdoe
.shekinyashi
.shengoda
Shemnanga
.shemweta
Shekilango
.shekolowa
Shehondo
.shemwambashi
..dah awa jamaa niwakalimu sana aise
Ongeza na wewe baadhi ya majina##usambala mountain
.
.
 
Tunachoshana, mb zenyewe zinalika fasts.....nilijua kuna sukari imepatikana
 
Hahaha naona sukari imekua dili kila mkiona uzi hauleweki mnajua sukar imeoatikana
 
Shebisholo
 
Tanga kuna makabila mengi! hao uliwapa Sifa si wenyewe,nenda udigoni....kule kuna karibu tu hakuna kwaheri.
 
Shelutete
Shemagongo
Shemejio
Shetani
Shelukindo
Shekiondo
 
Nikajua kuna kapicha fran ivi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Tanga kuna makabila mengi! hao uliwapa Sifa si wenyewe,nenda udigoni....kule kuna karibu tu hakuna kwaheri.

Udigoni utakutana na majina yanaanza na Mwa...mwa za kumwaga japo zinatofauti na Mwa za Unyakyusani mfano;

Mwafisi
Mwafujo
Mwajeki
Mwameja
Mwauchi
Mwavyombo
Mwakatika
Mwafujo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…