Aiseee hommie ukifika TIP TOP kama unakata kuja TANDALE UZURI halafu unarudi kama vile unaenda kutokea njia ya kwenda MABIBO kheeee kheeee kheee kule ni hatari kuna haja ya kufanya RESEARCH kama ya wiki hivi
Hommie spika kubwa zimewekwa nje kwenye uwanja mduara unazungushwa mchana kweupe aisee uswahili bana vijana wakware wamezunguka wanasubiri mmoja wao banana zimleweshe waondoke naye l.o.lUsione watu tunang'ang'ania kula bata uswazi kuna raha zake bane asikwambie mtu. Yaani kama Chuda vile
uswazi wanaume hawana stimu mpaka wapange siku na kwenda lodge ndio wapandishane stimu.hata mwanamke akivaa nguo fupi sana zaid watamsimanga kwa maneno lakin suruali zao zikiwa flati bila kutuna kokote .mie nadhan ni kwasababu ya uchafu,uswazi mwanamke anashinda na khanga mpaka mchana yaan bila kugusa maji,akikupitia karibu unaweza kuzimia kwa harufu.ila wakioga hao wakafika town,unaweza dhania wametokea masaki
Ahaaaa ahaaaa ahaaaa fidel bana, akiwa anaenda kununua maandazi ya chai asubuhiSasa kwa shemeji yako mlango wa pili anako elekea Bi Mwanakombo
Ahaaaa ahaaaa ahaaaa fidel bana, akiwa anaenda kununua maandazi ya chai asubuhi
Ngoja nikachekee nje l.o.lKushinda na khanga moja kuna fanya bailojia ishinde inapumua na mazingira yote husika mpaka kule dawasco kunakuwa shwari hakutemi ovyo ovyo harufu kama wewe unavyo dhania kitu kinapunga upepo full time
Kushinda na khanga moja kuna fanya bailojia ishinde inapumua na mazingira yote husika mpaka kule dawasco kunakuwa shwari hakutemi ovyo ovyo harufu kama wewe unavyo dhania kitu kinapunga upepo full time
basi we ndio hujui.dawasco ukipaacha wazi panaathiri mitambo yote kwani koki hupunguza nguvu na kuruhusu matone kudondoka zaidi.kiusafi kufuli ni muhmu zaid na nguo pia
siku hizi hatuvaagi hivi bana, tunatembea uchi kabisa!Na joto la Dar hili unavaa qupi + skin tight + kijeans (ili uonekane una kakalio)+ sketi au suruali hivi ukizivua hizo si utatengeneza sumu ya mbu?