Mambo ya vyeti yamenogesha love connect kule muendeni mnaotaka wachumba

Blank page

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2015
Posts
5,487
Reaction score
4,817
Wakuu sio siri saiv MMU kumenoga,naona huku chit chat wanaume weng tunalalamika kuwa wadada wote wapo in pair na majamaa..sasa nimepita uko love connect ase katika zile threads za mwanzo wamejaa wadada tena wenye diploma na wengne degrees wanatafuta marafiki na wapenzi jamani...mkatoeni msaada kule,jukwaa limeelemewa...nkahisi lada mambo ya vyeti kwamb watu wnatafuta wa kuwafariji au wa kusaidiana kulipa madeni?? embu tufanye tathmini waloathrika na vyeti feki ni wanawake au wanaume ndo weng? afu embu muwatag wanaolalamika hawana wapenzi JF wakajichkulie,uko wenza wao...hahah nice wekend.
 
Reactions: SDG
Mada za kutafuta wapenzi tena zile za masharti mengi zitapungia sana. Utasikia ooooh mm ni muajiliwa serikalini namtafuta mwanaume ambaye ameajiliwa alafu awe na digrii...huo umbea saivi utakuwa haupo kabisa!!!!.... Utapungua kwa kiasi kikumbwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…