Mambo ya Wachina huko kwa wenzetu - Zambia

Mambo ya Wachina huko kwa wenzetu - Zambia

Kinachotia mashaka ni nafasi ya wazawa katika huu mpangilio. Cha ajabu wazambia wenyewe wanakiri kwamba hawana takwimu halisi ya rasilimali zinazochukuliwa kutoka nchini mwao kupelekwa China na kwingineko(Ufaransa n.k) kutokana na usiri wa mikataba. 😰

Pili, hao watu wanajiita 'investors' yaani wawekezaji/watoa mtaji na teknolojia. Hivyo wazawa (ambao kimsingi ndio wamiliki wa rasilimali hizo) wamebaki kama watumishi wao tu kwenye shughuli za kiuchumi na wanapewa nafasi zisizo za maamuzi mf. ulinzi. Pia wanalipwa malipo duni (kuna mlinzi analalamika kuhusu mshahara). Kuna sehemu huku mwishoni wanaonyesha hadi yaya wa mtoto kwenye moja ya familia zao ni Mzambia. Wanasifia ardhi nzuri inayozalisha, hakuna ushindani wa kibiashara kama ilivyo China.

Masoko ya bidhaa za vyakula wamehodhi wao kwa kuzalisha vitu visivyo na ubora (kuku wa nyama) na kuuza kwa bei nafuu. Watu wa kipato cha chini wanakimbilia kununua bila kujali athari za kiafya zinazoweza kujitokeza na wazambia asilia wanakosa fursa ya kuuza kuku wa kienyeji kutokana na tofauti ya bei.

To me it is a pity.
 
Watakuwa wanatutukana kweli watu hawa wakikaa pekeyao na kijisemea kamsemo AFRICANS ARE REAL PRIMITIVE... LET'S RULE THEM..
Ni makosa yetu sisi wenyewe. Ona kilichotokea zimbabwe. Watu wamepewa mashamba ya wazungu badala walime wanauza machine za kuhudumia shamba. Yani unakuta mtu yuko tayari atumikishwe kwa ujira mdogo, akiambiwa kujitumikisha mwenyewe apate zaidi hataki
 
Ni makosa yetu sisi wenyewe. Ona kilichotokea zimbabwe. Watu wamepewa mashamba ya wazungu badala walime wanauza machine za kuhudumia shamba. Yani unakuta mtu yuko tayari atumikishwe kwa ujira mdogo, akiambiwa kujitumikisha mwenyewe apate zaidi hataki
Maskini sisi!

Tuna safari ndefu ya kubadili mitazamo yetu, kuchukia utegemezi
 
Ni makosa yetu sisi wenyewe. Ona kilichotokea zimbabwe. Watu wamepewa mashamba ya wazungu badala walime wanauza machine za kuhudumia shamba. Yani unakuta mtu yuko tayari atumikishwe kwa ujira mdogo, akiambiwa kujitumikisha mwenyewe apate zaidi hataki
Hivi mkuu hata leo hii umpe mkulima mdogo tu hapa Tz, ma hekari ya ardhi bila kuwa na pesa ataweza?nchi inatenga 3% ya bajeti ndio inapelekwa kwenye kilimo, utegemee miujiza?kilimo chenyewe hicho cha kutegemea mvua?kuwa na rasilimali bila ya kuitumia haina maana acha wenye uwezo wa kuitumia waitumie na wewe ufaidike kwa kiwango chako.huko zimbambwe mbona zamani ilikuwa ndio ghala la chakula wakati wazungu ndio wameshika kilimo.
 
Hivi mkuu hata leo hii umpe mkulima mdogo tu hapa Tz, ma hekari ya ardhi bila kuwa na pesa ataweza?nchi inatenga 3% ya bajeti ndio inapelekwa kwenye kilimo, utegemee miujiza?kilimo chenyewe hicho cha kutegemea mvua?kuwa na rasilimali bila ya kuitumia haina maana acha wenye uwezo wa kuitumia waitumie na wewe ufaidike kwa kiwango chako.huko zimbambwe mbona zamani ilikuwa ndio ghala la chakula wakati wazungu ndio wameshika kilimo.
Ndiyo mkuu. Nilienda kijiji flani kinaitwa ubaruku mbeya, nilikuta wachina wana mashamba makubwa ya mpunga.
 
Na ni waharibifu wakubwa wa vyanzo vya maji ili wamawagilie mashamba yao. Na usishangae kuwa ana namba ya RPC, RC na mbunge.
Yes uwa wanalindwa na viongozi. Ila wachina pia ni wanyonyaji sana na hilo ndilo linanifanya niwe na mashaka na uwekezaji wao. Hata wafanyakazi mishahara ovyo, mazingira wanaharibu
 
Yes uwa wanalindwa na viongozi. Ila wachina pia ni wanyonyaji sana na hilo ndilo linanifanya niwe na mashaka na uwekezaji wao. Hata wafanyakazi mishahara ovyo, mazingira wanaharibu
Kuna mama wa Kichina aliyesababisha pilipili manga zipande bei. Alinunua kwa bei yeyote aliyotajiwa. Alisafirisha magunia kuanzia 200-300 ya pilipili manga kupitia bandari. Alizifungia Tanga na huko amenunua ardhi kama heka 200. Alichofanya ni mwanae kumzalisha binti wa Kisambaa.

Kumbe bwana katika magunia anayosafirisha kila humus anaweka meno ya tembo, faru na madini.
 
Kuna mama wa Kichina aliyesababisha pilipili manga zipande bei. Alinunua kwa bei yeyote aliyotajiwa. Alisafirisha magunia kuanzia 200-300 ya pilipili manga kupitia bandari. Alizifungia Tanga na huko amenunua ardhi kama heka 200. Alichofanya ni mwanae kumzalisha binti wa Kisambaa.

Kumbe bwana katika magunia anayosafirisha kila humus anaweka meno ya tembo, faru na madini.
Aisee, ndiye yule malkia wa tembo yule aliyefungwa?
Hawa wachina siyo marafika wetu hata kidogo. Hata wazungu ni wezi, ila wachina wanaiba mpaka masufuria
 
Aisee, ndiye yule malkia wa tembo yule aliyefungwa?
Hawa wachina siyo marafika wetu hata kidogo. Hata wazungu ni wezi, ila wachina wanaiba mpaka masufuria
Yule mama hata akitoka jela hela aliyochuma Tanzania atakula mpaka na vitukuu vyake.

Wanajua sana madini, na wakiyapata hawasemi wanayapeleka kwao.
 
Back
Top Bottom