Mambo ya Watoto


Vijana wanatwangana mpaka mpita njia anawaamulia.


 
Risk kubwa sana wanachezea hawa watoto!
Kwa wenye familia, hapo unaona live ujio wa matatizo ndani ya nyumba!
Too bad!
 
hao si wanakula na kulala kwa baba?
waache tu kwani wakikua wataacha!
 
hahaha Mxshimba umenichekesha ..na hicho kibibi kinachovuta sigara bado ni kitoto ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…