mambo ya wekend..........jamani ushauri unahitajika



Hapo kwa red kaka mhhh....anampenda na ndio maana akaenda kwa msela mwingine...SHETANI ALIMPITIA SASA huyo shetani si atakuwa anampitia kila siku tuuuu...mwambie aachane naye hana maana huyo...
 
Hili ni tatizo uongo mwingine una cost sana ..sijui kama jamaa atarudia kumuamini tena?
 

very true PakaJimmy, huyo dada hafai kansani wala mthikitini, bora huyo broda aachane naye tu coz baadaye atakuja kudanganya makubwa zaidi ya hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…