kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
Ndege mpya moja kati ya tano ambazo serikali iliahidi itazinunua, inatarajia kuwasili nchini Machi au Aprili, huku nyingine nne zilizobaki zikitegemewa kuwasili nchini kwa nyakati tofauti mwaka huu. Aidha John Nzulule, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) anasema maendeleo ya matengenezo ya ndege hizo yanaendelea vizuri.
Juni mwaka 2022 katika hotuba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba wakati akiwasilisha bungeni bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2022/23 alisema serikali imeshanya malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mpya tano.
Katika ndege hizo tano moja ni ya abiria ya masafa marefu yenye uwezo wa kubeba abiria kuanzia 26, nyingine ya mizigo ya masafa marefu itakatotumika kusafirisha mizigo mbalimbali. Ndege nyingine mbili zitakua za masafa ya kati zenye uwezo wa kubeba abiria kati ya 160 hadi 170 na moja itakua ya kubeba abiria kati ya 76.
"Tunashukuru Rais kwa kuidhinisha ununuzi wa ndege hizo, zikfika zitaongeza connrctivity (safari za kuungsnisha ndege) na zitainua uchumi wetu." alisema John Nzulule
Juni mwaka 2022 katika hotuba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba wakati akiwasilisha bungeni bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2022/23 alisema serikali imeshanya malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mpya tano.
Katika ndege hizo tano moja ni ya abiria ya masafa marefu yenye uwezo wa kubeba abiria kuanzia 26, nyingine ya mizigo ya masafa marefu itakatotumika kusafirisha mizigo mbalimbali. Ndege nyingine mbili zitakua za masafa ya kati zenye uwezo wa kubeba abiria kati ya 160 hadi 170 na moja itakua ya kubeba abiria kati ya 76.
"Tunashukuru Rais kwa kuidhinisha ununuzi wa ndege hizo, zikfika zitaongeza connrctivity (safari za kuungsnisha ndege) na zitainua uchumi wetu." alisema John Nzulule