Mambo yako huku ACT Wazakendo

Mambo yako huku ACT Wazakendo

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Hiki Chama kinajua kula na kipofu na sasa wanakata mbuga na wananchi walio wengi wameanza kukielewa kwa kasi.
Ijulikane tu wametia mguu ndani ya serikali ya Zanzibar na sasa ni zaidi ya mwendo kasi wakidai mamlaka kamili ya Tanganyika na mamlaka kamili ya Zanzibar ili waTanzania wajielewe.

Kuhakikisha kuwa Tanzania inalindwa kwa hali na mali ni lazima wandugu wajulikane kuwa ni Tanganyika na Zanzibar ,kichaka wanachojifichia walanguzi wa Nchi aka CCM (Chama Cha Manyang'au) ni lazima kifyekwe na kuwepo na ukweli na uwazi,
Tanzania chini ya Zanzibar na Tanganyika itapiga hatua kubwa sana kuliko ilivyo sasa ,hakuna maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja.
Hongera ACT Wazalendo kwa kuwaonyesha dira WaTanzania.
 
Chama cha mitandaoni, from twitter to JF. Karibuni
 
Kuna chama chenyewe ndiyo kinajiona wao ndiyo wapinzani wa kweli viongozi wake wanatamani vyama vingine vyote vifutwe au vife ili kibaki chama chao tu.
 
Huko Zanziba walipoungana mbona kila siku wanalalamika. Yani Act Zanziba nikama Mke mdogo yani kafichwa kabisa, viongozi ndo wanakula na kunywa ila ahadi na kiu ya wananchi ilikua ni kuilejeshea Zanzibar hadhi yake yakua Nchi kamili hii ndo ilikua dhamila kuu yakina maaalm Seifu, Ambayo sasa chini ya Act ni ndoto.
 
Kuna chama chenyewe ndiyo kinajiona wao ndiyo wapinzani wa kweli viongozi wake wanatamani vyama vingine vyote vifutwe au vife ili kibaki chama chao tu.
Upo sawa kabisa hadi sasa wao ndio wapinzani wakweli,hawana matusi wala ujuba kama kile Chadema ambao haijulikani kama wana wazimu au wavuta bangi, inahitaji wakamatwe wapimwe wakati wakiwa kwenye mikutano yao maana macho huwaga yamewaiva,kama mabundi.

Ila ACT wazalendo mbona wapo na ustaarabu kabisa,hawana majungu wao hupambana kwa hoja tu ,na wanajua kuzipangua.
CCM wanakiogopa sana hiki Chama cha Wazalendo ,maana huusema ukweli unaostahili kusikika na wananchi na sio uzushi,
hiivi ule uzushi wa bandari umeishia wapi mapadre mashee walokole fujo nchi nzima ,wengine ndo wamekimbia nchi na kukamatiwa au kuonekana kwenye spitali za wagonjwa wa mwezi mchanga.

WaTanzania wenye akili zao kamili sasa wanajua pumba zipo wapi ,Chadema imepoteza mwelekeo ni bora wakafungua kanisa na mwenyekiti wao ndio nabii wao Nabii Mbowe na mtakatifu Lisu mashee mtawapa upasto aka maswaaba.
 
Upo sawa kabisa hadi sasa wao ndio wapinzani wakweli,hawana matusi wala ujuba kama kile Chadema ambao haijulikani kama wana wazimu au wavuta bangi, inahitaji wakamatwe wapimwe wakati wakiwa kwenye mikutano yao maana macho huwaga yamewaiva,kama mabundi.

Ila ACT wazalendo mbona wapo na ustaarabu kabisa,hawana majungu wao hupambana kwa hoja tu ,na wanajua kuzipangua.
CCM wanakiogopa sana hiki Chama cha Wazalendo ,maana huusema ukweli unaostahili kusikika na wananchi na sio uzushi,
hiivi ule uzushi wa bandari umeishia wapi mapadre mashee walokole fujo nchi nzima ,wengine ndo wamekimbia nchi na kukamatiwa au kuonekana kwenye spitali za wagonjwa wa mwezi mchanga.

WaTanzania wenye akili zao kamili sasa wanajua pumba zipo wapi ,Chadema imepoteza mwelekeo ni bora wakafungua kanisa na mwenyekiti wao ndio nabii wao Nabii Mbowe na mtakatifu Lisu mashee mtawapa upasto aka maswaaba.
Usikimbilie kujibu kabla hujaelewa kilichoandikwa.
 
Back
Top Bottom