Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Kuwa karibu sana na Mama wa Mtoto(Mzazi) msaidie na toa muongozo sehemu inayoweza au unayotakiwa kufanya hivyo
Lazima uwe umejiandaa kumpokea Mtoto onesha kumuunga mkono Mama wa Mtoto na si kumshangaa Mtoto pekee na kumsahau Mama yake (usihamishe mapenzi kwa Mtoto na kumsahau Mama yake)
Wajibika katika malezi ya Mtoto, wengi huacha kila kitu kwa Mama au Mama Mkwe. Mhudumie Mkeo/Mzazi mwenzio kwa ukaribu zaidi
Muweke Mzazi mwenzio kwenye ulinzi wa hali ya juu na hakikisha upatikanaji wa mahitaji kwa wakati
Upvote
1