Mambo yamebadilika sana, tusipokuwa makini yatabadili kabisa tamaduni zetu za kiafrika

Mambo yamebadilika sana, tusipokuwa makini yatabadili kabisa tamaduni zetu za kiafrika

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Jamani, hapo kabla sikuwahi kusikia haya mambo. Na kama yalikuwepo basi ni wachache sana. Ila kwa sasa hata ndugu zangu akina muraa, nao wanamezwa na mabadiliko.

Mwanaume kumtegemea zaidi mwanamke atafute kipato cha kulisha familia, kwa sasa imekuwa kawaida kabisa
Mtoto wa kiume kukaa nyumbani huku akitegemea wazazi wake wamlishe, wamvishe wampe malazi imekuwa jambo lisiloshangaza.

Mwanaume mtu mzima mwenye kila kiungo cha mwili kilichokamilika, anakutana na mwanamke anamuomba 'buku' tena bila aibu.

Wanaume wa kitanzania wamekuwa watu wa kulalamika badala ya kufanya maamuzi. Tunaelekea wapi?
 
Jamani, hapo kabla sikuwahi kusikia haya mambo. Na kama yalikuwepo basi ni wachache sana. Ila kwa sasa hata ndugu zangu akina muraa, nao wanamezwa na mabadiliko.

Mwanaume kumtegemea zaidi mwanamke atafute kipato cha kulisha familia, kwa sasa imekuwa kawaida kabisa
Mtoto wa kiume kukaa nyumbani huku akitegemea wazazi wake wamlishe, wamvishe wampe malazi imekuwa jambo lisiloshangaza.

Mwanaume mtu mzima mwenye kila kiungo cha mwili kilichokamilika, anakutana na mwanamke anamuomba 'buku' tena bila aibu.

Wanaume wa kitanzania wamekuwa watu wa kulalamika badala ya kufanya maamuzi. Tunaelekea wapi?
Huu ni umwanamkisho!
 
Back
Top Bottom