Elections 2010 Mambo yanayoendelea kwenye kikao cha NEC Dodoma


Mkuu Mama Margreth Sita alishinda kwa kupitia kundi la UWT mkoani Tabora hakushindwa ktk Kura za maoni kama ulivyoonyesha hapo.Kwa maana hiyo ni rahisi kurudi Bungeni labda abanwe na kashfa ya Rushwa na watu wa Takukuru kama ilivyoripotiwa awali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…