6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,117
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Binafsi ni miongoni wa watu waliochoma chanjo dose ya kwanza yapata miez mi 3 sasa. Kwa upande wangu binafsi sikuwa na mategemeo ya kuchoma chanjo hii ila kulikokea push factors ikabid nichome na nategemea kabla mwaka haujaisha nimalizie dose.
Hadi leo hii sijaona side effects zozote za chanjo hii mwili uko kawaida kabisa, lakin kwa siku 3 au 4 baada ya kuchoma sikuwa na hamu ya kula, na uchovu ulikuwepo wa kiasi.
Haya twende kwenye hoja ya msingi, ambayo chanjo ya korona imefanya nianze kujitafakari juu ya hii chanjo.
1. Rafiki yangu ambae ni nutrition consultant wa org ya kimataifa kuniambia anaumwa covid lakin alikwisha choma dose zote mbili.
2. Kuvaa barakoa na kukeep distance huhali watu hao wamechoma chanjo zote mbili.
Lakin la mwisho ni hili kuhusu team ya Totenham ambayo mechi ya juzi ili post sababu ya wacheza wa 5 wa Tot wamekutwa na virusi vya korona.
Hayo ni baadhi ya mambo yanayonitafakarisha kuhusu chanjo ya korona, na inaniwia ugumu kumalizia dose japo nina deadline ya kusubmit cheti cha dose ya 2 mwaka huu.
Je ni yapi yanakutafakarisha kwenye covid vaccin?
Binafsi ni miongoni wa watu waliochoma chanjo dose ya kwanza yapata miez mi 3 sasa. Kwa upande wangu binafsi sikuwa na mategemeo ya kuchoma chanjo hii ila kulikokea push factors ikabid nichome na nategemea kabla mwaka haujaisha nimalizie dose.
Hadi leo hii sijaona side effects zozote za chanjo hii mwili uko kawaida kabisa, lakin kwa siku 3 au 4 baada ya kuchoma sikuwa na hamu ya kula, na uchovu ulikuwepo wa kiasi.
Haya twende kwenye hoja ya msingi, ambayo chanjo ya korona imefanya nianze kujitafakari juu ya hii chanjo.
1. Rafiki yangu ambae ni nutrition consultant wa org ya kimataifa kuniambia anaumwa covid lakin alikwisha choma dose zote mbili.
2. Kuvaa barakoa na kukeep distance huhali watu hao wamechoma chanjo zote mbili.
Lakin la mwisho ni hili kuhusu team ya Totenham ambayo mechi ya juzi ili post sababu ya wacheza wa 5 wa Tot wamekutwa na virusi vya korona.
Hayo ni baadhi ya mambo yanayonitafakarisha kuhusu chanjo ya korona, na inaniwia ugumu kumalizia dose japo nina deadline ya kusubmit cheti cha dose ya 2 mwaka huu.
Je ni yapi yanakutafakarisha kwenye covid vaccin?