Mambo yanayosemekana ni contradictions katika Quran

Mambo yanayosemekana ni contradictions katika Quran

maharage ya ukweni

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
1,415
Reaction score
3,213
Asalaam aleykum!
Napenda kwanza kumshukuru ALLAH kwakunijaalia afya njema kwani wala si kwaujanja wanu ila ni kwa rehema zake.Dhumuni la kuletwa duniani ni kumuabudu yeye aliyeumba mbingu na ardhi pamoja na vilivyomo kwa haki tena bila ya kasoro ya aina yeyote.
Yapo mambo mengi sana ambayo watu wanasema kuwa ni contradictions katika Quran kiasi kwamba inapelekea waseme kwamba ni maneno ya kutungwa na binadamu.Kwanza napinga kwasababu kutokuelewa jambo haimaanishi ni contradictions,kwa mfano ALLHA katika Quran amesema kwamba Dunia inazunguka kwa mwendo wa mawingu sasa isisemwe kua ni contradictions kwasababu mtu fulani au watu fulani hawaoni jinsi ambavyo dunia inazunguka kwa mwendo wa mawingu.Mifano iko mingi sana ila ntatumia michache ili kuelezea ukweli wa mambo.
Ntazungumzia zaidi katika swala la uumba wa mwanadamu maana kwa atakaye elewa hapa basi atagundua kwamba katika Quran tukufu hakuna contradictions ila kuelewa inabidi IQ yako iwe ni Merit bila ya hivyo ukilazimisha kuelewa unaweza kuanza kuzurula ovyo mitaani huku unacheka.Pia napenda kumpa pole sana wale ambao waliyeandika mambo ambayo wameshindwa kuyaelewa kutokana na akili zao kua ndogo nakusema eti ni contradictions katika Quran


1. What was man created from: blood, clay, dust, or nothing?

Mungu alimuumba ADAM na baadae HAWA kwa lengo la kuja kuishi katika dunia wamuabudu yeye tu,lakini kwakua alitaka watu waongezeke wawe wengi akawatengenezea maumbile ya mwili ambao binadamu wengine wangetokana na hao.Maana yake ni kwamba mungu alikua anajua kwamba atamuumba HAWA kabla hata ya kumuumba ADAM na ndio maana ADAM akawa na maumbile ya kumfanya HAWA aweze kubeba mimba.Hii inamaanisha kwamba kama mungu alikua hajui ya kwamba atamuumba HAWA basi ADAM asingeumbwa katika maumbile ambayo yalimwezesha kumfanya HAWA awe na uwezo wa kubeba mimba na kuzaa.Ukiwa na akili utaona kwamba binadamu kiroho wote tumeumbwa pamoja ila kimwili wa kwanza kuumbwa ni ADAM.ALLAH anapozungumzia uumbaji wa mwanadamu anazungumzia katika roho na mwili,katika mwili anazungumzia mfumo mzima wa uzazi wa mwanamke pamoja na mwanaume.Kama ingekua sio lengo la ALLAH kutuumba sisi katika mwili basi angemuumba ADAM peke yake katika roho na kama angemuumba katika mwili wala asingempa mwili na maumbile yake aliyomuumba nayo.
Kwa ALLAH kitu chenye thamani kati ya roho na mwili ni ROHO tu na ndio maana ukifa unabaki mwili tu ambao unaoza na hata usipooza hauna faida katika dunia.Pia kama mungu asingekua na uwezo wa kumfufua binadamu katika umbo lake baada ya kufa basi binadamu tungelikua tunapaa na miili yetu kwenda Akhera.Kama ukiuliza kwanini ALLAH ametuumba binadamu jibu ni KUMUABUDU YEYE na ukiuliza kwanini tumuabudu jibu ni ATENDEYE ATAKAYO.Mwisho napenda kutoa jibu la jumla la jumla kwa maswali yote ambao wenye akili ndogo wameshindwa kuelewa na wanasema ni contradictions katika Quran.Jibu la maswali yote ni QURAN 85:16 "Atendaye ayatakayo"Atayeelewa maelezo haya atakua ameelewa maswali yote na atakayeshindwa kuelelewa basi hatoweza kuelewa maswali yote kwasababu upeo wake ndio umefika mwisho
75:37 Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
75:38 Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
75:39 Kisha akamfanya namna mbili, mwanamume na mwanamke.


32:8 Na kisha akajaalia uzao wake utokane na kizazi cha maji madhaifu.
32:9 Kisha akamtengeneza, na akampulizia roho yake, na akakujaalieni kusikia na kuona, na nyoyo za kufahamu. Ni uchache mnavyo shukuru.
3:6 Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila Yeye, Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

37:7 Ambaye ametengeneza vizuri umbo la kila kitu; na akaanzisha kumuumba mtu kwa udongo.
35:11 Na Mwenyezi Mungu amekuumbeni kutokana na udongo. Kisha kwa tone la manii. Kisha akakufanyeni mwanamume na mwanamke. Na mwanamke yeyote hachukui mimba, wala hazai, ila kwa ilimu yake. Na wala hapewi umri mwenye umri mrefu, wala hapunguziwi katika umri wake, ila yamo hayo katika Kitabu. Hakika hayo ni mepesi kwa Mwenyezi Mungu




NB;Asiyeweza kuelewa ufafanuzi huu ni ABNORMAL kwahiyo asilazimishe kuelewa maama ubongo utapiga SHORT
 
Asalaam aleykum!<br />Napenda kwanza kumshukuru ALLAH kwakunijaalia afya njema kwani wala si kwaujanja wanu ila ni kwa rehema zake.Dhumuni la kuletwa duniani ni kumuabudu yeye aliyeumba mbingu na ardhi pamoja na vilivyomo kwa haki tena bila ya kasoro ya aina yeyote.<br /> Yapo mambo mengi sana ambayo watu wanasema kuwa ni contradictions katika Quran kiasi kwamba inapelekea waseme kwamba ni maneno ya kutungwa na binadamu.Kwanza napinga kwasababu kutokuelewa jambo haimaanishi ni contradictions,kwa mfano ALLHA katika Quran amesema kwamba Dunia inazunguka kwa mwendo wa mawingu sasa isisemwe kua ni contradictions kwasababu mtu fulani au watu fulani hawaoni jinsi ambavyo dunia inazunguka kwa mwendo wa mawingu.Mifano iko mingi sana ila ntatumia michache ili kuelezea ukweli wa mambo.<br /> Ntazungumzia zaidi katika swala la uumba wa mwanadamu maana kwa atakaye elewa hapa basi atagundua kwamba katika Quran tukufu hakuna contradictions ila kuelewa inabidi IQ yako iwe ni Merit bila ya hivyo ukilazimisha kuelewa unaweza kuanza kuzurula ovyo mitaani huku unacheka.Pia napenda kumpa pole sana wale ambao waliyeandika mambo ambayo wameshindwa kuyaelewa kutokana na akili zao kua ndogo nakusema eti ni <b> contradictions katika Quran<
/What was man created from: blood, clay, dust, or nothing?

Mimi sijaona ulipotoa jibu la swali tena ulilojiuliza mwenyewe !
 
Asalaam aleykum!
Napenda kwanza kumshukuru
NB;Asiyeweza kuelewa ufafanuzi huu ni ABNORMAL kwahiyo asilazimishe kuelewa maama ubongo utapiga SHORT
[/B]

Nna maswali

mungu akituumba ili tumuabudu , halafu atende atakayo kama yepi!!?

Je roho kama iliumbwa, binadamu wa sasa roho anatuwekea huyo huyo Mungu!!?

Unapo sema Allah amesema una uthibitsho gani kuwa ukweli huyo ni Allah na si maneno ya mtu.

Kitabu ulicho kitumia yaan Qur'an una uhakika gani kuwa ni cha Allah!?
 
NB;Asiyeweza kuelewa ufafanuzi huu ni ABNORMAL kwahiyo asilazimishe kuelewa maama ubongo utapiga SHORT


[emoji2] Ulichokosea ni kwenye hiyo paragraph hapo mwisho[emoji115] sipendi nikukosoe sana.
Hii hoja yako ni nyepesi sana, hvyo jiandae kuzipangua hoja za wadau wakija hapa.
 
Asalaam aleykum!
Napenda kwanza kumshukuru ALLAH kwakunijaalia afya njema kwani wala si kwaujanja wanu ila ni kwa rehema zake.Dhumuni la kuletwa duniani ni kumuabudu yeye aliyeumba mbingu na ardhi pamoja na vilivyomo kwa haki tena bila ya kasoro ya aina yeyote.
Yapo mambo mengi sana ambayo watu wanasema kuwa ni contradictions katika Quran kiasi kwamba inapelekea waseme kwamba ni maneno ya kutungwa na binadamu.Kwanza napinga kwasababu kutokuelewa jambo haimaanishi ni contradictions,kwa mfano ALLHA katika Quran amesema kwamba Dunia inazunguka kwa mwendo wa mawingu sasa isisemwe kua ni contradictions kwasababu mtu fulani au watu fulani hawaoni jinsi ambavyo dunia inazunguka kwa mwendo wa mawingu.Mifano iko mingi sana ila ntatumia michache ili kuelezea ukweli wa mambo.
Ntazungumzia zaidi katika swala la uumba wa mwanadamu maana kwa atakaye elewa hapa basi atagundua kwamba katika Quran tukufu hakuna contradictions ila kuelewa inabidi IQ yako iwe ni Merit bila ya hivyo ukilazimisha kuelewa unaweza kuanza kuzurula ovyo mitaani huku unacheka.Pia napenda kumpa pole sana wale ambao waliyeandika mambo ambayo wameshindwa kuyaelewa kutokana na akili zao kua ndogo nakusema eti ni contradictions katika Quran


1. What was man created from: blood, clay, dust, or nothing?

Mungu alimuumba ADAM na baadae HAWA kwa lengo la kuja kuishi katika dunia wamuabudu yeye tu,lakini kwakua alitaka watu waongezeke wawe wengi akawatengenezea maumbile ya mwili ambao binadamu wengine wangetokana na hao.Maana yake ni kwamba mungu alikua anajua kwamba atamuumba HAWA kabla hata ya kumuumba ADAM na ndio maana ADAM akawa na maumbile ya kumfanya HAWA aweze kubeba mimba.Hii inamaanisha kwamba kama mungu alikua hajui ya kwamba atamuumba HAWA basi ADAM asingeumbwa katika maumbile ambayo yalimwezesha kumfanya HAWA awe na uwezo wa kubeba mimba na kuzaa.Ukiwa na akili utaona kwamba binadamu kiroho wote tumeumbwa pamoja ila kimwili wa kwanza kuumbwa ni ADAM.ALLAH anapozungumzia uumbaji wa mwanadamu anazungumzia katika roho na mwili,katika mwili anazungumzia mfumo mzima wa uzazi wa mwanamke pamoja na mwanaume.Kama ingekua sio lengo la ALLAH kutuumba sisi katika mwili basi angemuumba ADAM peke yake katika roho na kama angemuumba katika mwili wala asingempa mwili na maumbile yake aliyomuumba nayo.
Kwa ALLAH kitu chenye thamani kati ya roho na mwili ni ROHO tu na ndio maana ukifa unabaki mwili tu ambao unaoza na hata usipooza hauna faida katika dunia.Pia kama mungu asingekua na uwezo wa kumfufua binadamu katika umbo lake baada ya kufa basi binadamu tungelikua tunapaa na miili yetu kwenda Akhera.Kama ukiuliza kwanini ALLAH ametuumba binadamu jibu ni KUMUABUDU YEYE na ukiuliza kwanini tumuabudu jibu ni ATENDEYE ATAKAYO.Mwisho napenda kutoa jibu la jumla la jumla kwa maswali yote ambao wenye akili ndogo wameshindwa kuelewa na wanasema ni contradictions katika Quran.Jibu la maswali yote ni QURAN 85:16 "Atendaye ayatakayo"Atayeelewa maelezo haya atakua ameelewa maswali yote na atakayeshindwa kuelelewa basi hatoweza kuelewa maswali yote kwasababu upeo wake ndio umefika mwisho



NB;Asiyeweza kuelewa ufafanuzi huu ni ABNORMAL kwahiyo asilazimishe kuelewa maama ubongo utapiga SHORT
Usitutukane na kuzuia tuhiji Quran dogo [emoji15] [emoji4] nikuulize jee Muhammad ibn abd allah ni wa kwanza kunena hayo [emoji47] jee muhammad anayo sifa kujiita ni mtume wa Mungu [emoji4] jee Mungu alisahau nini hadi amtume muhammad atufundishe.....kuna hoja kwa gt lakini kwa wenye mahaba [emoji117] alahu yaalam[emoji4]
 
Ingekuwa vema kama ungeeleza unachotaka kupost ili wenye uelewa mkubwa wakusaidie.
 
Ingekuwa vema kama ungeeleza unachotaka kupost ili wenye uelewa mkubwa wakusaidie.
1. What was man created from: blood, clay, dust, or nothing?

Mungu alimuumba ADAM na baadae HAWA kwa lengo la kuja kuishi katika dunia wamuabudu yeye tu,lakini kwakua alitaka watu waongezeke wawe wengi akawatengenezea maumbile ya mwili ambao binadamu wengine wangetokana na hao.Maana yake ni kwamba mungu alikua anajua kwamba atamuumba HAWA kabla hata ya kumuumba ADAM na ndio maana ADAM akawa na maumbile ya kumfanya HAWA aweze kubeba mimba.Hii inamaanisha kwamba kama mungu alikua hajui ya kwamba atamuumba HAWA basi ADAM asingeumbwa katika maumbile ambayo yalimwezesha kumfanya HAWA awe na uwezo wa kubeba mimba na kuzaa.Ukiwa na akili utaona kwamba binadamu kiroho wote tumeumbwa pamoja ila kimwili wa kwanza kuumbwa ni ADAM.ALLAH anapozungumzia uumbaji wa mwanadamu anazungumzia katika roho na mwili,katika mwili anazungumzia mfumo mzima wa uzazi wa mwanamke pamoja na mwanaume.Kama ingekua sio lengo la ALLAH kutuumba sisi katika mwili basi angemuumba ADAM peke yake katika roho na kama angemuumba katika mwili wala asingempa mwili na maumbile yake aliyomuumba nayo.
Kwa ALLAH kitu chenye thamani kati ya roho na mwili ni ROHO tu na ndio maana ukifa unabaki mwili tu ambao unaoza na hata usipooza hauna faida katika dunia.Pia kama mungu asingekua na uwezo wa kumfufua binadamu katika umbo lake baada ya kufa basi binadamu tungelikua tunapaa na miili yetu kwenda Akhera.Kama ukiuliza kwanini ALLAH ametuumba binadamu jibu ni KUMUABUDU YEYE na ukiuliza kwanini tumuabudu jibu ni ATENDEYE ATAKAYO.Mwisho napenda kutoa jibu la jumla la jumla kwa maswali yote ambao wenye akili ndogo wameshindwa kuelewa na wanasema ni contradictions katika Quran.Jibu la maswali yote ni QURAN 85:16 "Atendaye ayatakayo"Atayeelewa maelezo haya atakua ameelewa maswali yote na atakayeshindwa kuelelewa basi hatoweza kuelewa maswali yote kwasababu upeo wake ndio umefika mwisho
75:37 Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
75:38 Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
75:39 Kisha akamfanya namna mbili, mwanamume na mwanamke.

32:8 Na kisha akajaalia uzao wake utokane na kizazi cha maji madhaifu.
32:9 Kisha akamtengeneza, na akampulizia roho yake, na akakujaalieni kusikia na kuona, na nyoyo za kufahamu. Ni uchache mnavyo shukuru.
3:6 Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila Yeye, Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

37:7 Ambaye ametengeneza vizuri umbo la kila kitu; na akaanzisha kumuumba mtu kwa udongo.
35:11 Na Mwenyezi Mungu amekuumbeni kutokana na udongo. Kisha kwa tone la manii. Kisha akakufanyeni mwanamume na mwanamke. Na mwanamke yeyote hachukui mimba, wala hazai, ila kwa ilimu yake. Na wala hapewi umri mwenye umri mrefu, wala hapunguziwi katika umri wake, ila yamo hayo katika Kitabu. Hakika hayo ni mepesi kwa Mwenyezi Mungu



NB;Asiyeweza kuelewa ufafanuzi huu ni ABNORMAL kwahiyo asilazimishe kuelewa maama ubongo utapiga SHORT
 
Nna maswali

mungu akituumba ili tumuabudu , halafu atende atakayo kama yepi!!?

Je roho kama iliumbwa, binadamu wa sasa roho anatuwekea huyo huyo Mungu!!?

Unapo sema Allah amesema una uthibitsho gani kuwa ukweli huyo ni Allah na si maneno ya mtu.

Kitabu ulicho kitumia yaan Qur'an una uhakika gani kuwa ni cha Allah!?
Siku ndugu zangu tutakapogundua kuwa Allah aliyeshusha Quran siye Mungu Jehova anayetajwa kwenye Bible, hakika kutakuwa na amani na hakutakuwa tena na mabishano ya kidini. Kila mtu atakuwa busy kutenda alichoagizwa na Mungu wake kwenye kitabu chake japo mwishoni mshindi lazima awe mmoja.
 
Thread yako yenyewe ni full contradiction nadhani una jambo lakini jinsi ya kuwasilisha ni shida kwa mtindo huu sijui utampata nani.
 
Hujui maana ya contradiction. Wala wakristo hawaiiti contradiction isipokuwa wanachokataa ni kusema eti mungu kamuumba binadamu kw mbegu itokanayo na mchanganyiko wa wanaume na mwanamke, halafu muhamadi ktk mkweli mwamimifu anasema binadamu kaumbwa kw udongo wa mfinyanzi....
 
Contradiction ni pale ambapo hoja moja imezungumzwa tofauti ktk maeneo tofauti. Ilitakiwa utoa sehemu mbili tofauti ambazo zinakisiwa kuzungumzia jambo mmoja kw kauli na maana tofauti.
 
kuna sehemu Quran inasema eti Allah kaumba eropleni na ma-meli makubwa makubwa...!!teh Quran buana inafurahisha sana!!
 
Nna maswali

mungu akituumba ili tumuabudu , halafu atende atakayo kama yepi!!?

Je roho kama iliumbwa, binadamu wa sasa roho anatuwekea huyo huyo Mungu!!?

Unapo sema Allah amesema una uthibitsho gani kuwa ukweli huyo ni Allah na si maneno ya mtu.

Kitabu ulicho kitumia yaan Qur'an una uhakika gani kuwa ni cha Allah!?


( قَدْ سَأَلَهَا قَوْمٌ مِّن قَبْلِكُمْ ثُمَّ أَصْبَحُوا بِهَا كَافِرِينَ )

المائدة (102) Al-Maaida

Waliyauliza hayo watu wa kabla yenu, kisha wakawa wenye kuyakataa.
 
umeanzisha hoja na umeshindwa kuitetea wewe huyo huyo
 
Back
Top Bottom